Unataka kuezeka?

Unataka kuezeka?

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
Mini fundi wakupaua mitindo yote ya kisasa, naenda sehem yoyote kwa atakae nihitaji hatakama ni nje ya nchi nikihitajika naenda kikubwa fedha. mawasiliano 0765 156 828 na 0654 234 344 kalibuni sana
 
Mini fundi wakupaua mitindo yote ya kisasa, naenda sehem yoyote kwa atakae nihitaji hatakama ni nje ya nchi nikihitajika naenda kikubwa fedha. mawasiliano 0765 156 828 na 0654 234 344 kalibuni sana
I'd yako inanitia mashaka na kazi unayojitangaza!
 
Weka bei yako kwa size za Nyumba tofauti ili tujue kama upo nafuhu au la.
 
Nina mpango kuezeka. nyumba 18X10. onyesha maufundi hapa ule tenda. design tutacheki wote
 
Nimekupa ukubwa wa nyumba ni 12 Kwa 12 gorofa moja. Kama unataka roof drawings nitumie email nikutumie. Weka kazi Zako tuone
 
Back
Top Bottom