Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Hizi akili zingine hizi tabu tupu

Hebu muulizeni huyu jamaa,ni nani anaetaka kubadili chochoje hapa?

Wewe unapima akili hapa...Ujue kama hujanielewa inawezekana wewe ndo akili yako ina matatizo....

Ni hivi....Mwanamke atakuwa chini...mwanaume atakuwa juu.....nje ya hapo ni kubadili nyeusi kuwa nyekundu...swallow it
 
Kwanini unadhani hakuna haki sawa mama D ?

Haki sawa haiwezi kuwepo sababu kuna majukumu ya KE na ME hayawezi kuwa sawaaa
Wanaume (wanaojitambua) wataendelea kukojoa wima sie tutaendelea kuchuchuma miaka yote - jamani huu usasa tunaoutaka haupo!!
 
ni udhaifu uliothibitishwa kijamii na haina hata haja ya mtu kuwa na degree kuweza kutambua hilo.
Kwanini hakuna haja ya kuwa na degree?
 
...mwanamke wa karne hii huwezi kumuendesha kama trekta bovu, labda kama unahitaji ndoa yenye misuguano.
..hakika nitakapoingia huko sitataka kuwa dikteta kama nilivyoona kwa baba yangu, the man decided everything, no opinion was accepted. Hata mama akijitahidi kushauri jamaa alipinga sana, ati "nimesema na sitaki mjadala" nilijisikia vibaya coz mum felt so inferior now and then.
Kumbe ww unatukana mamba kabla hujavuka mto.....? kuna wengi waliongea kama ww unavyosema lakini mwisho wa yote baada ya kuingia kwenye ndoa wanaishia kulalamika tu kwa mabwana zao.
 
I am tired of taking the leading role.

I want things to go the old way. I want a man who is the head of the family.

I want a man with authority. A man who is sober upstairs and knows what he is doing.

I cannot bask in the glory of marriage yet I make the wheels turn. Mimi ndo mama, mimi ndo baba mi ndo kila kitu. No way. I will be play the supporting role but never again the lead lady.
in your next marriage???? are you devorced? or do you want to devorce your hubby?...come on, nijibu asap! lol
 
Haiwezekani mwanamke awe na Last say kamwe, na wala haiwezaekani iwe 50/50 mmoja lazima awe kianja na mwingine ni loazima afwate. I dont mean kuwa awe anaburuzwa NO ila ni lazima kuwe kuna mmoja mwenye veto. Kwamba anachoamua ni lazima kifanyike kwa wakati huo, discussion nyingine baadae. Pengine hata kubadilisha huo msimamo baada ya maelezo, ushauri wenye hoja lakini sio kubishana. Mi nikishaamua kuwa ni A then A it is, nikisema B ni B hiyo....na alishajua so huwa anatulia atatekeleza lakini huku ananishauri taratibu. Mwanaume LAZIMA awe na say ya mwisho kwa mtazamo wangu(From experience)
 
Kumbe ww unatukana mamba kabla hujavuka mto.....? kuna wengi waliongea kama ww unavyosema lakini mwisho wa yote baada ya kuingia kwenye ndoa wanaishia kulalamika tu kwa mabwana zao.

mkuu, kweli nimewatukana kabla ya kuuvuka, ila natamani iwe hivyo. Naamini mivutano inapungua, baba akiwa kichwa na mama akiwa mshauri mkuu. Kama haitawezekana basi tena, ubabe na mabavu vitatumika, ila kama tutakuwa na maelewano, sioni sababu ya kuwa dikteta.
 
Siamini kama kuna mtu anachagua mfumo wa ndoa....tunajikuta tu tumeshakuwa ndani ya mfumo a au ule wa be. Mazingira nayo yanachangia vitu vingi, ndoa nayo haiwezi kukwepa....madai ya baba anatafuta, hivyo nyumbani kwake anapatikana masaa 5 kati ya 24, atasubiriwa atoe maamuzi? Au vitu vilale kwa kuwa hatujasikia maamuzi ya baba?

Kuna maamuzi yanaweza yakamsubiri baba, yes, na mengine ataendelea nayo tu mama....Labda tu kuwe na dikteta in the house, hapo lazima mchechemee...
 
in your next marriage???? are you devorced? or do you want to devorce your hubby?...come on, nijibu asap! lol

ELi dont you just have a way of making me laugh out loud?
 
kama ana wazo bora nitalikubali na mie kama nna opinion bora aikubali
sio mambo ya bendera fuata upepo.

sisemi hakuna mwenye last say lakin yeye leo anaweza kuwa na last say
na mie kesho nikawa na last say isiwe one way

Last say haimaanishi wazo la nani linakubaliwa, inamaanisha nani ana approve kitu.
 
...mwanamke wa karne hii huwezi kumuendesha kama trekta bovu, labda kama unahitaji ndoa yenye misuguano.
..hakika nitakapoingia huko sitataka kuwa dikteta kama nilivyoona kwa baba yangu, the man decided everything, no opinion was accepted. Hata mama akijitahidi kushauri jamaa alipinga sana, ati "nimesema na sitaki mjadala" nilijisikia vibaya coz mum felt so inferior now and then.

baba yako alikuwa sahihi. Baba legelege hujenga familia legelege na mitoto legelege. Watoto wanaotoka katika famili ambayo mama huwa ana last say, kama ni wa kike mara nyingi ndoa humshinda, na kama wa kiume hushindwa kuiongoza familia yake.
 
Kwani Mungu ni masculine au feminine?????
 
Usibadili nyeusi kuwa nyekundu bana...Mwanamke ameumbwa kuwa chini ya Mwanaume...Ndio hivyo MUNGU alivyoumba...hakuan haja ya mjadala...WOMEN will always be under men...Full stop

asante Gracious mjombaaa
Ila iwe kwa mwanaume anayejitambua kama wewe lol
 
Ndio maana sitaki kuolewa nibaki na initial na final say!!!
Mama,kichwa,tumbo,mkia vyote mie!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom