Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Inapendeza wote tukawa tunasikilizana ktk ndoa lakin pia dhana ya mwanaume inabaki pale pale na mwanamke inabaki pale pale
 
baba yako alikuwa sahihi. Baba legelege hujenga familia legelege na mitoto legelege. Watoto wanaotoka katika famili ambayo mama huwa ana last say, kama ni wa kike mara nyingi ndoa humshinda, na kama wa kiume hushindwa kuiongoza familia yake.

mkuu. Naomba ushauri hapa, wewe kama umeoa ndoa yako utaiongoza vipi??
 
Kichwa na mkia haviwezi kuwa sawa abadani!!!
Naturally, mwanaume ni boss of za household na mwanamke ni msaidizi!!
MY TAKE!:
Hyo ni management structure nzuri na wala haina mana inamkandamiza yeyte la hasha, na mtakubaliana namim kuwa ndomana ndoa za zamani zilidumu sana kuliko hzi za ki-digitali!!!

Haya yte ni matokeo ya democratization & kuimarika kwa ufalme WA secret society!!
MUNGU HAKUWA MJINGA KUWEKA MWANAUME NA MWANAMKE ambao mamlaka yaliyopo kati yao ndiyo tofauti yao!!

Mfumo WA zamani ni MWAROBAINI WA EVERLASTING MARRIAGE!!!
 
Ndio maana sitaki kuolewa nibaki na initial na final say!!!
Mama,kichwa,tumbo,mkia vyote mie!!!!

Hahaha Ennie nimecheka sana wangu
Usiogope bhana, ndoa haina shida.....upate tu anayejielewa mbona utajuta kuchelewa???
 
Swali lina assume kila mtu anapenda / anataka ndoa.
 
asante Gracious mjombaaa
Ila iwe kwa mwanaume anayejitambua kama wewe lol
mama D hata kwa mwanamke anayejielewa anapenda kuwa chini ya himaya ya mume wake...haya mambo sijui ya mwanamke kuwa sijui juu...sijui sawa na mwanaume sio applicable....Labda mwanamke awe juu wakati wa majamboz kitandani
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakati tukubali mambo yanabadilika na tukubali kuji-adjust na hilo.
 
Kichwa na mkia haviwezi kuwa sawa abadani!!! - sikubaliani na wewe kwamba wanawake ni mikia! Mwanaume ni kichwa na mwanamke ni mwili --Tutake radhi kwa hili kutuita mikia
Naturally, mwanaume ni boss of za household na mwanamke ni msaidizi!! - Nakubaliana na wewe ila ni kwa wanaume wanaojielewa si wanaume viuno wa siku hizi wanaotaka kulelewa
MY TAKE!:
Hyo ni management structure nzuri na wala haina mana inamkandamiza yeyte la hasha, na mtakubaliana namim kuwa ndomana ndoa za zamani zilidumu sana kuliko hzi za ki-digitali!!! - Inakua nzuri tu kama kichwa kinajielewa vinginevyo mwanamke atachukua usukani afu uanze kulia unaonewa

Haya yte ni matokeo ya democratization & kuimarika kwa ufalme WA secret society!!-Hizi zimesaidia sana kuwapa wanawake bora
MUNGU HAKUWA MJINGA KUWEKA MWANAUME NA MWANAMKE ambao mamlaka yaliyopo kati yao ndiyo tofauti yao!!

Mfumo WA zamani ni MWAROBAINI WA EVERLASTING MARRIAGE!!!

Mwanaume Ukitaka ndoa idumumu ni kuwajibika kama kichwa kinavyowajibika kwa mwili na si vinginevyo
 
mama D hata kwa mwanamke anayejielewa anapenda kuwa chini ya himaya ya mume wake...haya mambo sijui ya mwanamke kuwa sijui juu...sijui sawa na mwanaume sio applicable....Labda mwanamke awe juu wakati wa majamboz kitandani


Ndio maana yake mjombaa Gracious Kama mie najiskia rahaaa naona nina usalama tosha na amani tele
Shida ni ukutane na gubegube, hata halijui watoto wamekula nini, wanavaa nini, wanasomaje.....akikuta kuku anakula akikuta mbuzi twende akikuta maharage asante yeye kuzurura tuuuu naa usharobaro. Wanaume wa hivi sio vichwa na wake zao wakishika usukani wanaume mnaona tabuuu----waacheni wameyataka wenyewee
CCEnnie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom