Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Generalization mkuu, wanafunzi wa chuo tuko poa tu! Ni wapuuzi tu huandika ule mwandiko!
Akili za wanawake haziko stable, wanawaza na kutoa hoja kulingana na mzunguko wao wa kubleed!!!
...
- Akibleed na wiki ya kwanza baada ya kubleed anakuwa na akili zake timamu!
- Wiki inayofata hapo akili inachange na kuwaza kinyume nyume! Teh teh teh!
- Baada ya hapo akili yake inarudi kuwa normal!
- Aliwa mjamzito, ndio kabisaaaaa!
Apart from that! Wengi wao hawana mitazamo ya mbali! Yaani wanamitazamo ya Jongoo! Hadi wajigonge ndio watambue mbele hakuna njia!
...
Vile vile wanawake wengi wanasumbuliwa mental disorder known as Adjustment disorder!
...
Vile vile ke wengi wanasumbuliwa na ASPD attention seeking personal disorder, hivyo wengi wao hutoa maamuzi kwa kutafuta tu intension kwa hadhira!
...
Wanawake wengi ni Firgners!
...
Wanawake wengi hawawezi kusimama wenyewe! Sometimes mawazo mabovu ya shoga zake inakuwa tatizo ktk ndoa!
...
Nadhani Eiyer tuko pamoja!
Miss neddy kama kunasehem haujaelewa unaweza kugogle!
umeongea kitu kizur kweli....... Nakupa mwanangu umuoe buree bila mahali