hatuko stone age......
Utakua na mtindio wa ubongo weweWewe unapima akili hapa...Ujue kama hujanielewa inawezekana wewe ndo akili yako ina matatizo.... Ni hivi....Mwanamke atakuwa chini...mwanaume atakuwa juu.....nje ya hapo ni kubadili nyeusi kuwa nyekundu...swallow it
Inaeleweka kuwa nyakati za nyuma kwenye ndoa Mwanaume alikuwa ndie mwenye last say kwenye chochote kile
Lakini siku hizi mambo ni tofauti wanawake nao wanahitaji kuwa na maamuzi hayo pia yaani sio mwanaume tu anatakiwa awe na last say
Pamoja na hayo bado haimaanishi kuwa kila mtu anaeingia kwenye ndoa anakubaliana na mabadiliko hayo
Kuna ambao wanataka mtindo wa zamani wengine wanataka mtindo wa sasa
Wewe ungependa ndoa yako iweje[kama bado hujaingia kwenye ndoa] au ungependa ibadilike na iwe kwa mtindo upi? [kama tayari upo kwenye ndoa]
Naomba unaposema unataka aina yoyote ya ndoa ile utoe na sababu za kutaka hivyo
Ijumaa kareem ...........!!!!!!!
hata kama jambo halina manufaa wewe una approve tu
wanaume msiwe selfish
huu uandishi huu duh
Kuna mtu amemtoa mwenzake ubavu,ndo namuuliza miss neddy kama anamjua . . . . . Lol!Mna discuss nini?
hiyo xaxa huwa inamaanisha nini au kifupisho cha nini?
Kwanini mwanaume awe na last say?Haiwezekani mwanamke awe na Last say kamwe, na wala haiwezaekani iwe 50/50 mmoja lazima awe kianja na mwingine ni loazima afwate. I dont mean kuwa awe anaburuzwa NO ila ni lazima kuwe kuna mmoja mwenye veto. Kwamba anachoamua ni lazima kifanyike kwa wakati huo, discussion nyingine baadae. Pengine hata kubadilisha huo msimamo baada ya maelezo, ushauri wenye hoja lakini sio kubishana. Mi nikishaamua kuwa ni A then A it is, nikisema B ni B hiyo....na alishajua so huwa anatulia atatekeleza lakini huku ananishauri taratibu. Mwanaume LAZIMA awe na say ya mwisho kwa mtazamo wangu(From experience)
Kwanza lengo la mada yangu sio kumuaminisha yoyote chochoteSiamini kama kuna mtu anachagua mfumo wa ndoa....tunajikuta tu tumeshakuwa ndani ya mfumo a au ule wa be. Mazingira nayo yanachangia vitu vingi, ndoa nayo haiwezi kukwepa....madai ya baba anatafuta, hivyo nyumbani kwake anapatikana masaa 5 kati ya 24, atasubiriwa atoe maamuzi? Au vitu vilale kwa kuwa hatujasikia maamuzi ya baba? Kuna maamuzi yanaweza yakamsubiri baba, yes, na mengine ataendelea nayo tu mama....Labda tu kuwe na dikteta in the house, hapo lazima mchechemee...
Prove it!baba yako alikuwa sahihi. Baba legelege hujenga familia legelege na mitoto legelege. Watoto wanaotoka katika famili ambayo mama huwa ana last say, kama ni wa kike mara nyingi ndoa humshinda, na kama wa kiume hushindwa kuiongoza familia yake.
Kivipi mwanaume ni Boss?Kichwa na mkia haviwezi kuwa sawa abadani!!! Naturally, mwanaume ni boss of za household na mwanamke ni msaidizi!! MY TAKE!: Hyo ni management structure nzuri na wala haina mana inamkandamiza yeyte la hasha, na mtakubaliana namim kuwa ndomana ndoa za zamani zilidumu sana kuliko hzi za ki-digitali!!! Haya yte ni matokeo ya democratization & kuimarika kwa ufalme WA secret society!! MUNGU HAKUWA MJINGA KUWEKA MWANAUME NA MWANAMKE ambao mamlaka yaliyopo kati yao ndiyo tofauti yao!! Mfumo WA zamani ni MWAROBAINI WA EVERLASTING MARRIAGE!!!