Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Hata kama shangazi yangu aliwahi kuwa na matatizo hayo haiondoi umuhimu wa wewe kujibu swali hilo

Hebu nijibu basi mtoto mzuri
Ulishawahi kupata matatizo ya akili?
Acha nyege,nimekwambia shangazi yako dadake babako unataka nn kwangu we kirusi!
 
mi huwa tunajadiliana, ila huwa nina veto power, nikiona tunaelekea mtaroni naitumia
 
Huyo ndie ananifanya nakuwa nafuraha kila siku
Huyo ndie malkia wa moyo wangu
Huyo ndie anaenipa raha kila siku
Huyo ndie malkia wa ulimwengu ninaoishi

My love Karucee hebu njoo huku ......lol!!!!!!!!


[video=youtube_share;mXQCZ5i7U8Q]http://youtu.be/mXQCZ5i7U8Q[/video]
 
may be niko selfish, i just want to be myself. Naona ninachoamua niko sawa ila taarifa ntatoa.
Last say haina shida naweza fata yake ila nikiamua au nikitaka kitu changu asinikataze na wala asinibane bane. Anipe nafasineejoy kisha ntarudi kwake safely.
May be ndo maana naona bora niwe single coz naona kama sitakwa na muda na watoto na ikitokea kusikiliza kuwa nataka niende vacation sitaki kitu cha famila kinizuie hata.

ukikua utajua tu.
 
mi huwa tunajadiliana, ila huwa nina veto power, nikiona tunaelekea mtaroni naitumia

Kwanini unayo hiyo veto power?
Uliitoia wapi?
 
as nasoma hii poat nilikua naskiza wimbo wa ashanti feat.fatty joe-whats lov.
well nakoment hivi.. "its about us,its about trust." period.
 
Inaeleweka kuwa nyakati za nyuma kwenye ndoa Mwanaume alikuwa ndie mwenye last say kwenye chochote kile

Lakini siku hizi mambo ni tofauti wanawake nao wanahitaji kuwa na maamuzi hayo pia yaani sio mwanaume tu anatakiwa awe na last say

Pamoja na hayo bado haimaanishi kuwa kila mtu anaeingia kwenye ndoa anakubaliana na mabadiliko hayo

Kuna ambao wanataka mtindo wa zamani wengine wanataka mtindo wa sasa

Wewe ungependa ndoa yako iweje[kama bado hujaingia kwenye ndoa] au ungependa ibadilike na iwe kwa mtindo upi? [kama tayari upo kwenye ndoa]

Naomba unaposema unataka aina yoyote ya ndoa ile utoe na sababu za kutaka hivyo

Ijumaa kareem ...........!!!!!!!

asante kwa huu uzi... sijaolewa so nijifunze funze kiduchu labda itaongezea kwenye uelewa binafsi
 
Mume kutaka kufanya maamuzi yote kwenye familia sio sahihi bali ni mwanzo wa ugomvi,ni bora kushirikishana na kufanya maamuzi ya pamoja
 
Mume kutaka kufanya maamuzi yote kwenye familia sio sahihi bali ni mwanzo wa ugomvi,ni bora kushirikishana na kufanya maamuzi ya pamoja

Hivi unajua hata usahihi una kanuni?
 
mixed economy types of marriages are most preferred by excel.

reasons coming soon.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom