Pa1 kuskilizana ...lakn mwanaume lazma ashike hatam za familia!!
hahahahaUmeanza kukua sasa ....lol!!!
siku hizi wanawake tumekua vichwa ngumu mme akisema nasisi twasema hapohapo kwa pamoja yani hakuna wa kumsikiliza mwenzie inabaki ni makelele tu! mme pewe nafas ake bt akivuruga nampa makavu
We cheki tu lakini jua nakuhitaji hapa!
Wee kweli jipu
Masuala ya chumvini yanahusiana na kufanya ngono
Mimi hapo nimezungumzia masuala ya ngono?
Bado hujajibu swali la smingi la kwenye mada!
siku hizi wanawake tumekua vichwa ngumu mme akisema nasisi twasema hapohapo kwa pamoja yani hakuna wa kumsikiliza mwenzie inabaki ni makelele tu! mme pewe nafas ake bt akivuruga nampa makavu
Ndoa ni taasisi kama zilivyo zingine
Tofauti ya taasisi inayoitwa ndoa ni kuwa haina time frame
Kama kwenye taasisi kuna mwenye last say ambae anachaguliwa kwa mujibu wa kanuni na anakuwa kwenye mamlaka hayo kwa kipindi fulani na katika kipindi hicho hakuna mwingine
Kwenye ndoa atakaekuwa na last say atakuwa huyo maisha yote ya ndoa kwakuwa ndoa haina uchaguzi wala time frame ya kiongozi
Hapa unatakiwa ujue hilo na hakuna mahali ambapo haijulikani ni nani mwenye last say
Nipe mfano wa sehemu moja kama unaijua!
Unaujua ndoa ni nini?
Unajua huo mwili mmoja ni kwenye nini?
Njema sana bibie
Upo?
Kwanini mtindo wa kisasa uwe mzuri?
Kwanini unaona ni vizuri kila mmoja kutoa last say?
Wee kweli jipu
Masuala ya chumvini yanahusiana na kufanya ngono
Mimi hapo nimezungumzia masuala ya ngono?
mwanaume atabaki kuwa mwanaume na mwanamke atabaki kuwa mwanamke katika misingi ya maisha uliyojengwa sasa yapata miaka maelfu.
ninapenda kupokea maoni na mawazo ya mke wangu kwasababu ni mtu na anauwezo wa kufikiri katika jambo lolote ila linapofikia swala la kutoa uamuzi wa mwisho nitajaza nafasi japo nikiwa na mawazo yake.
uandishi huu peleka kwa foolish age wenzio wa fb
Ndo mana mahous girl wanatuhusu sana maana ndio mwanamke pekee atanayemsikiliza mwanaume kwa heshima ndani ya nyumba.
Kama ni Wakristo then biblia inatakiwa iwe ndo kama katiba yenu.
Hakika kwenye biblia mwanaume kapewa mamlaka hayo ya kuwa kichwa cha familia.
Cha msingi ni kujali utu na siku zote kuangalia namna ya kuboresha na sio kushindana.
Kama wife wangu ana mawazo mazuri kwa nini nisimsikilize.
Mwisho ubabe ndo hautakiwi, ila mwanamke mwenye busara zake hawezi fanya maamuzi bila "hata" kumpa taarifa mume wake. Ni hayo tu mkuu.