Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
nataka jibu kutoka kwako bhana swali nikuulize wewe jibu atoe mwingine not fair
Its very fair indeed.
Subiri aje.
nataka jibu kutoka kwako bhana swali nikuulize wewe jibu atoe mwingine not fair
swali lako linahusikaje hapa?
Its very fair indeed.
Subiri aje.
wote tusikilizane..........wote tuwe na say
Wewe hutaki kuongoza?
haka ka dada sitaki uwe na hadisi nako baba paroko.
miss neddy.
Mmmmh Eiyer nawe mgumu kuelewa, yaani maelezo yote hayo hujanifahamu nipo mlengo gani.Mbona nilishabainisha kuwa nipo kwenye kisasa nawe umefafanua kisasa ilivyo.
Ila sishangai sana vile weh ni Me,
Mleta mada mwenyewe ameanza kuvuruga thread yake kwa kuanzisha story ambazo zina majibishano na zikapoteza ladha kabisa ikaishia kuzungumzia watu tu..
Anyway nami nitie neno..mfumo wa zamani una strengths na weakness zake kadhalika mfumo wa kisasa vivyohivyo..mimi nipo kati..mfumo wa zamani nusu na mfumo wa kisasa nusu.kwanini?
una mambo mengi ambayo hayawezi kubadilika miaka nenda rud na kuna mengine pia hubadilika kulingana na wakat..mfano;:
nafasi ya nwanaume katika jamii itaendelea kuwepo tu mfano jamii nyingi kwa sasa watoto huitwa kwa majina ya baba zao na upande wa mama hautambuliki..mwanaume ndiye anaonekana shujaa na jasiri kwenye jamii. kitendo ambacho hupelekea baadhi ya jamii kutompa nafasi mwanamke kusimama mbrle ya wanaume na kuongea..e.g wamasai..
kwa mtindo wa kisasa pia suala la mwanamke kunyimwa uhuru wa kutoa maamuzi si zuri..ila linatakiwa kufanywa kwa busara na hekima si kwa kumaanisha kumkandamiza mwanaume..
huwezi.kuutupa uzamani na kuukumbatia usasa moja kwa moja..yapo ya kuchukua na mengine ya kuacha..ila pamoja na hayo nafasi ya mwanaume itabaki palepale tu hata wanawake wakipigana vipi hawawezi kuitengua kwani Mungu ndiye aliyewapa mamlaka hayo..
naona dalili ya kura ya wazi na kura ya siri zote kwa wakati mmoja.
Mmmmh Eiyer nawe mgumu kuelewa, yaani maelezo yote hayo hujanifahamu nipo mlengo gani.Mbona nilishabainisha kuwa nipo kwenye kisasa nawe umefafanua kisasa ilivyo.
Ila sishangai sana vile weh ni Me,
haya maamuzi ya leo huyu kesho huyu wewe ndo utakua wa kwanza kuyaanzisha dunia nzima yaan!!
Mke wangu,inamaana unakahofia hako?
Huoni kana lijamaa tayari?
Its very fair indeed.
Subiri aje.
Na mama maswali ni nani?