Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Hii umeshaiona?

images


Na hii je?

images

waooow sijawahi naomba kuionja
 
Inaeleweka kuwa nyakati za nyuma kwenye ndoa Mwanaume alikuwa ndie mwenye last say kwenye chochote kile

Lakini siku hizi mambo ni tofauti wanawake nao wanahitaji kuwa na maamuzi hayo pia yaani sio mwanaume tu anatakiwa awe na last say

Pamoja na hayo bado haimaanishi kuwa kila mtu anaeingia kwenye ndoa anakubaliana na mabadiliko hayo

Kuna ambao wanataka mtindo wa zamani wengine wanataka mtindo wa sasa

Wewe ungependa ndoa yako iweje[kama bado hujaingia kwenye ndoa] au ungependa ibadilike na iwe kwa mtindo upi? [kama tayari upo kwenye ndoa]

Naomba unaposema unataka aina yoyote ya ndoa ile utoe na sababu za kutaka hivyo

Ijumaa kareem ...........!!!!!!!

mie nataka ya kisasa, yaani kuanzia mambo ya kuaga siyapndi ataka niwe natoa taarifa, nikitaka kwenda vacation nisiombe ruhusa niwe natoa taarifa na kwenda nnapotaka, mambo ya kuomba ruhusa mie siyapendi
 
mie nataka ya kisasa, yaani kuanzia mambo ya kuaga siyapndi ataka niwe natoa taarifa, nikitaka kwenda vacation nisiombe ruhusa niwe natoa taarifa na kwenda nnapotaka, mambo ya kuomba ruhusa mie siyapendi

Kwanini hependi kuomba ruhusa?

Unataka nani awe na last say?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom