Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Nimekuona .....
Umependeza mno
Nitaweza kuvumilia kweli au utanionjesha?
nitakuonjesha haya maharage utayaonja tu
Nimekuona .....
Umependeza mno
Nitaweza kuvumilia kweli au utanionjesha?
Kwanini hependi kuomba ruhusa?
Unataka nani awe na last say?
may be niko selfish, I just want to be myself. Naona ninachoamua niko sawa ila taarifa ntatoa.
Last say haina shida naweza fata yake ila nikiamua au nikitaka kitu changu asinikataze na wala asinibane bane. Anipe nafasineejoy kisha ntarudi kwake safely.
May be ndo maana naona bora niwe single coz naona kama sitakwa na muda na watoto na ikitokea kusikiliza kuwa nataka niende vacation sitaki kitu cha famila kinizuie hata.
Nimekutamanisha nini tena isichoweza kukupa?
Unataka koni?
Njoo uchukue!!!!!!!!!!!
nikipata wanaoona ugumu katika hilo, basi nitasadiki maneno yakoJambo linaweza kuwa rahisi kwako lakini likawa gumu kwa mwingine
Hivyo ku assume tu kuwa ni rahisi ni kosa!
Je kwa wale ambao hawaamini katika dini?
Unajua maana ya last say?
hahaaaaaaaa hiyo ndio imekaa poa..... kila mtu anakuwa satsified
Dhana ipi hiyo?