Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Mkataba uko wapi?
Nilisaini wapi

Nimevunja sheria gani?

uliposema nichague zawadi ninayotaka hiyo ni OFFER ulinipa na hukusema hiyo zawadi iwe ya aina gani so baada ya mimi kuaccept ofa yako mpaka hapa tushafanya AGREEMENT
na contract ni agreement between two parties ( mimi na wewe)
so itanidi utimize makubaliano au lah nina haki ya kudai fidia kwa kukiuka makubalino yetu
 
uliposema nichague zawadi ninayotaka hiyo ni OFFER ulinipa na hukusema hiyo zawadi iwe ya aina gani so baada ya mimi kuaccept ofa yako mpaka hapa tushafanya AGREEMENT
na contract ni agreement between two parties
so itanidi utimize makubaliano au lah nina haki ya kudai fidia kwa kukiuka makubalino yetu

Hatujakubaliana hata ni aina gani ya zawadi nikupe unaanza kudai ni mkataba

Una hatari sana wewe

Kwanza tukubaliane aina ya zawadi
Kisha tukubaliane tuinalipana vipi

Kisha tukubaliane kwa wakati gani italipwa

Kati ya hayo hakuna hata moja lililofanikiwa!
 
Hatujakubaliana hata ni aina gani ya zawadi nikupe unaanza kudai ni mkataba

Una hatari sana wewe

Kwanza tukubaliane aina ya zawadi
Kisha tukubaliane tuinalipana vipi

Kisha tukubaliane kwa wakati gani italipwa

Kati ya hayo hakuna hata moja lililofanikiwa!
Sijui nikupe zawadi gani kwa jibu lako
hili murua
Hebu chagua .......!!!!!!!!!
Reply Rep

rudia post yako umenipa uhuru wa kuchagua zawadi nipendayo huna budi kunipatia
.maaana kama ungetaka ya kukubaliana ungesema nakupa mfano peni .
na zawadi niliyochagua haiitaji hayo yote uliyoyasema na ukishindwa kunipa nina haki ya kudai fidia
 
Utakua na mtindio wa ubongo wewe

Nimesema wapi nataka kubadili chochote?

Mimi nimeuliza kuwa unataka ndoa ya mtindo upi na unipe sababu,wewe unadai nataka kubadili

Wewe ni mzima kweli?

Mkuu temana naye huyo!
 
jamani muamini msiamini mfumo wa zamani umebaki historia na ndoa inayotumia mfumo wa zamani huwa na migogoro isiyoisha na mwisho huvunjika. hawa viumbe wa karne hii wameshtuka na wameshika kasi kweli kuhakikisha wanakomesha mfumo wa zamani na harakati zao za haki sawa. sijui kama unaweza shindana na wanawake, ni watu ambao wakiungana kufanikisha jambo huwa hawashindwi sijui kwa nini? re: mambo ya kichen party na mambo yao ya vikundi vya ujasilia mali, tena tukizubaa baada ya miaka kumi watakuwa wanamiliki uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa. kuna ukweli ambao watu hawaujui au wanaujua ila hawataki kuukubali, kwamba ukikubalika na mwanamke au wanawake ujue umekubalika na jamii. mfano wanamziki, wimbo ukikubalika na wanawake automatically utakubaliwa na watoto na ni watu ambao wapo wengi kwenye jamii, pia viongozi, ukitaka uone chamoto gombea hata uongozi wa kijiji ukiwa hupendwi na wanawake, hutashinda nakuambia. ushauri wangu twende na wakati
 
Siwezi kufanya kazi za kijinga

Kama amekimbiwa si atafute mwingine?

umeona eeh! mwenzie anakula good time na wengine huko ye analialia hapa kama vile wanaume wameisha! na atamtafuta sana mwaka huu
 
acheni kujidanganya Sk zote mwanamke unatakiwa upokee maelekezo na sio kutoa maelekezo....... Hata wanyama kama ng'ombe na nyani wanalitambua hlo. Ng'ombe anamuogopa mtoto wa kiume hata mwenye miaka miwili laki sio mwanamke mtu mzima.......

Hee yaaani ww bado una mawazo ya kizamani hivi?
Waulize wenzio waliosikiliza ht ushauri wa mwanamke wamefika mbali na hawapuuzi tena.

Haya mambo ya kusema eti mwanamke ni mtu wa kupokea maelekezo sio kwa kila kitu ..

Kwanza siku hizi wanaume b4 hajafanya kitu anamshirikisha mwanamke apate opinion na ht km hata taka kumuonyesha mwanamke kuwa wazo lake ni bora kuliko lake na kuwa atalifanyia kazi ( coz of inferiority) anafanya kimya kimya. ...kwa baadhi ya wanaume.
 
Mleta mada mwenyewe ameanza kuvuruga thread yake kwa kuanzisha story ambazo zina majibishano na zikapoteza ladha kabisa ikaishia kuzungumzia watu tu..
Anyway nami nitie neno..mfumo wa zamani una strengths na weakness zake kadhalika mfumo wa kisasa vivyohivyo..mimi nipo kati..mfumo wa zamani nusu na mfumo wa kisasa nusu.kwanini?
una mambo mengi ambayo hayawezi kubadilika miaka nenda rud na kuna mengine pia hubadilika kulingana na wakat..mfano;:
nafasi ya nwanaume katika jamii itaendelea kuwepo tu mfano jamii nyingi kwa sasa watoto huitwa kwa majina ya baba zao na upande wa mama hautambuliki..mwanaume ndiye anaonekana shujaa na jasiri kwenye jamii. kitendo ambacho hupelekea baadhi ya jamii kutompa nafasi mwanamke kusimama mbrle ya wanaume na kuongea..e.g wamasai..
kwa mtindo wa kisasa pia suala la mwanamke kunyimwa uhuru wa kutoa maamuzi si zuri..ila linatakiwa kufanywa kwa busara na hekima si kwa kumaanisha kumkandamiza mwanaume..

huwezi.kuutupa uzamani na kuukumbatia usasa moja kwa moja..yapo ya kuchukua na mengine ya kuacha..ila pamoja na hayo nafasi ya mwanaume itabaki palepale tu hata wanawake wakipigana vipi hawawezi kuitengua kwani Mungu ndiye aliyewapa mamlaka hayo..
 
Hii mada hii. Naungana na waliosema twende na wakati. Nafasi ya mke na mume haijabadilika toka zamani hadi sasa. Bado baba ni mtawala na mama ni msaidizi. Kilichobadilika ni mfumo wa utawala tu - kutoka imla kwenda demokrasia. Sifa za msaidizi wa sasa zimeongezeka ila hazijabadili nafasi yake. Ana elimu na kipato hivyo havumilii vipigo na manyanayaso kisa kwa kwao keshaagwa, wala kurithiwa na shemeji kama zamani. Hata angetaka kurithiwa, mashemeji hawataki, maisha magumu. Hakuna asiyejua mchango mkubwa wa mwanamke kwenye dunia. Mke ni msaidizi, ni mlinzi, ni mshauri wa mumewe. Wababa wenye wake wema wanaweza kushuhudia hili. Ndo maana tunaambiwa tukosee kuchagua magari na viatu ila si mwenzi wa maisha. Ukimpata mtu sahihi wala hakuna mjadala wa nani awe mkia, nani awe kiuno. Kila mmoja anajua nafasi yake. Wenzi sahihi wanaoheshimiana na kupendana wanatambuana madhaifu na nguvu za kila mmoja. Ndo maana utakuta kuna familia shopping anaenda baba kwa kuwa mama hajui kulalama juu ya bei au hana mpangilio. Ikifika wakati watoto wamevuka mpaka baba anasema "mama hili shughulikia wewe maana una uvumilivu, mimi nitaua". wakati wa ujenzi mama anasema "baba hawa mafundi simamia wewe maana mimi hata ratio ya simenti na mchanga sijui, watatuibia tu. Baba naye anasema mimi sina muda zaidi ya wikiendi, basi tutafute mtu mwaminifu anayejua atusaidie kusimamia tumlipe". "baba X kazini kwetu tumeamua kujiunga wanawake sita tupokezane laki kila mwezi. Zitatusaidia ada ya mtoto"..mume anamwambia " sidhani kama hilo ni wazo jema maana hapo katikati kuna watakaopata dharura au kukiuka tu kwa makusudi. Kwa nini usifungue fixed account ukaweka huko hiyo laki kila mwezi baada ya miezi 6 ukaichukua?" Utawala wa aina hii hata msipokubaliana ndoa haitayumba. Penye pendo pana heshima na kinyume chake. Watu wanaingia kwenye ndoa wamejihami utafikiri wako syria! Hizi mali na elimu na tgnp wala havina shida. Ndoa ni jinsi mnavyotaka iwe ndo maana utakuta ndoa mbili zimekumbwa na dhoruba inayofanana, moja inaparanganyika, moja inayumba na baadae kuimarika zaidi. Tupunguze munkari, tuenende kwa hekma.
 
kama ana wazo bora nitalikubali na mie kama nna opinion bora aikubali
sio mambo ya bendera fuata upepo.

sisemi hakuna mwenye last say lakin yeye leo anaweza kuwa na last say
na mie kesho nikawa na last say isiwe one way

haya maamuzi ya leo huyu kesho huyu wewe ndo utakua wa kwanza kuyaanzisha dunia nzima yaan!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom