Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

nina uhakika ni wangu kila mtu anatambua hivyo
sijajua kwann kaondoka bila kuaga lakini hii hainiondolei umiliki
sijui fikra zake namtaka arudi nyumbani

Haya endelea kufikiri hivyo hivyo!
 
Sio kuongozana, Tunataka tuongoze yaani kushika hatamu.
Kuna msemo unasema wanaume kichwa cha chini kikisimama cha juu hakifanyi kazi, ni bora yetu sisi maana muda wote tunawaza vyema kuliko nyie hamtabiriki so hamtakiwi kuwa last say

Wewe hutaki kuongoza?
 
stay away please
mimi ni mswahili pyuaa ukimwita my hubby babe sikuelewi kwa kweli

hahaaa mswahili pyuaaaa! huhuuu sa hasira za kukimbiwa na mumeo ndo unimalizie mie? huhuuuuuuuuu unalo iloo
 
Kama ni ya kumtafuta binadamu mwenye uwezo wa kufikiri siwezi

Hilo ulijue kabisaaa!!!!

mwambie huyo, kwanza mume atamkimbiaje kama sio yeye kasababisha akimbie, asikusumbue mwaya kwani we ndo ulimtafutia mume!
 
mwambie huyo, kwanza mume atamkimbiaje kama sio yeye kasababisha akimbie, asikusumbue mwaya kwani we ndo ulimtafutia mume!

Siwezi kufanya kazi za kijinga

Kama amekimbiwa si atafute mwingine?
 
Kama ni ya kumtafuta binadamu mwenye uwezo wa kufikiri siwezi

Hilo ulijue kabisaaa!!!!

itabidi nikufikishe kwa pilato umevunja sheria ya mkataba
inabidi utimize ahadi au ulipe fidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom