Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

acheni kujidanganya Sk zote mwanamke unatakiwa upokee maelekezo na sio kutoa maelekezo....... Hata wanyama kama ng'ombe na nyani wanalitambua hlo. Ng'ombe anamuogopa mtoto wa kiume hata mwenye miaka miwili laki sio mwanamke mtu mzima.......

Kwanini unadhani ni sawa hali kufanyika?
 
Eiyer mi nimekuja tu kukusalimia!
Baaaaaas!
 
Last edited by a moderator:
Ulishaona wapi kwenye huo mtindo wa leo anaamua huyu kesho anaamua yule?
Unajua ndoa ni ya muda gani?

ndoa si hadi death tear us apart........

nimeshaona kwingi..halafu sio leo huyu kesho yule kikubwa maamuzi yasibase

upande mmoja na mie kama mwanamke niweze kutoa maoni yangu pia
 
..nadhani sijatoka nje ya mda mkuu...
sidhani kama hiyo ni off point, lol

Hujatoka nje ya mada mkuu

Ila ninahitaji tu uniambie kama wewe unahitaji mtindo gani wa ndoa kati ya hiyo miwili na kwanini!
 
hatuko stone age......

huo mfumo ndio ulioweza kutufikisha hapa mm na ww lakin huu unaotaka ww ndio maana sku hz ndoa znadumu kwa miez miwili kwasababu ya kuingiliana wajibu na majukumu. Usukan hauwez kuendeshwa na watu wawili kwa wakat mmoja........ Hata ukiangalia kwenye maofis hasa jeshi ambacho ndio chombo chenye nidham pekee dunian. Kuna last say ambaye akitoa amri wengne mnatekeleza hakuna mjadala.
 
wanataka haki sawa hawa wabeijing... siku hizi kidume hata ukipiga mkwara naye anapiga mkwara kuwa anaondoka... so ngoma droo... na haiwezi kujirudia kama zaman imebaki history tu....
 
ndoa si hadi death tear us apart........

nimeshaona kwingi..halafu sio leo huyu kesho yule kikubwa maamuzi yasibase

upande mmoja na mie kama mwanamke niweze kutoa maoni yangu pia

Ndoa ni taasisi kama zilivyo zingine

Tofauti ya taasisi inayoitwa ndoa ni kuwa haina time frame

Kama kwenye taasisi kuna mwenye last say ambae anachaguliwa kwa mujibu wa kanuni na anakuwa kwenye mamlaka hayo kwa kipindi fulani na katika kipindi hicho hakuna mwingine

Kwenye ndoa atakaekuwa na last say atakuwa huyo maisha yote ya ndoa kwakuwa ndoa haina uchaguzi wala time frame ya kiongozi

Hapa unatakiwa ujue hilo na hakuna mahali ambapo haijulikani ni nani mwenye last say

Nipe mfano wa sehemu moja kama unaijua!
 
man should have the last say,naweza kukusikiliza mawazo yako ila mimi kama mwanamume ndio natakiwa niamue maamuzi ya mwisho,sikukatazi kama mke wangu kutoa mawazo ila mimi ndo natakiwa niamue sasa hilo wazo lako tutalifanyia kazi au tunatupilia kule,nadhani wanawake wengi mnafaham ni jinsi gani wanaume tuna busara na maamuzi yetu,
NB: kikubwa ni kuheshimu na mawazo ya mkeo hata kama hukubaliani nayo unayakataa kwa upole,hekima na sababu zako za msingi zakuyakataa,ila last say should remain to a man!!!
 
Mfumo wa zamani ndio mzuri zaidi ila uwe improved kidogo cz of mazingra yana change.

B'se ngumu sana kuchange nature, and iman ya dini + mfumo wa maisha ya miaka mingi siku zote mwanaume ndio last say. Then hawa ndugu zetu jinsia KE, hata iweje lazma wapate mtu wa kuwaongoza bila hvyo lazma watakua wrong way, so kuwapa last say sawa kujiwashia kibiriti mwenyewe, migogoro itakua kilasiku. Ngumu sana mtu mwenye nature ya kupenda kusifiwa akawa ndio last say.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom