Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Miye nataka mfumo wa kisasa, maamuzi ya wanaume wengi wa siku hizi ni majanga sana.Bora tuongoze nyumba,
 
umeona eeeh wengi wanaogopa changamoto za maswali hawajui unapopambana kwa hoja unajiongezea maarifa

Sijui nikupe zawadi gani kwa jibu lako hili murua
Hebu chagua .......!!!!!!!!!
 
Sijui nikupe zawadi gani kwa jibu lako hili murua
Hebu chagua .......!!!!!!!!!

hahaha kama unaweza nirudishie Excel mikononi mwangu hilo tu baba paroko i miss him
but i dont know where is he
 
Last edited by a moderator:
Wana kawaida ya kuondoka nyumbani na kwenda kusikojulikana

Lakini mwenye hao kuku huwezi kumsikia anawatafuta!

sasa wangu kapotea zaidi ya mwezi jamani nimemkumbuka sana naogopa asije akachinjwa huko nisaidie kumrudisha bandani
 
sasa wangu kapotea zaidi ya mwezi jamani nimemkumbuka sana naogopa asije akachinjwa huko nisaidie kumrudisha bandani

Kama ni wako anawezaje kuondoka bila kukuaga?
Anawezaje kukaa huko aliko bila hata kusema haloo?

Inaonekana kuwa hayo ni mawazo yako tu kuwa ni wako wakati yeye anafikiria kitu kingine kabisa!
 
Kama ni wako anawezaje kuondoka bila kukuaga?
Anawezaje kukaa huko aliko bila hata kusema haloo?

Inaonekana kuwa hayo ni mawazo yako tu kuwa ni wako wakati yeye anafikiria kitu kingine kabisa!
nina uhakika ni wangu kila mtu anatambua hivyo
sijajua kwann kaondoka bila kuaga lakini hii hainiondolei umiliki
sijui fikra zake namtaka arudi nyumbani
 
Unaposema "tuongozane" unamaanisha nini?


Sio kuongozana, Tunataka tuongoze yaani kushika hatamu.
Kuna msemo unasema wanaume kichwa cha chini kikisimama cha juu hakifanyi kazi, ni bora yetu sisi maana muda wote tunawaza vyema kuliko nyie hamtabiriki so hamtakiwi kuwa last say
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom