Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Mwanaume Ukitaka ndoa idumumu ni kuwajibika kama kichwa kinavyowajibika kwa mwili na si vinginevyo

mama D, kuhusu nyie kuwa mkia co tusi ni lugha ya kifasihi, basi tuseme wanawke ni subset ya wanaume ambao ni set kamili!!!!

kuhusu utandawazi, democrasia na mengneyo yaihusuyo nguvu ya secret society ni athari ambazo ni vgum kuzitambua kwa sasa ila MAMBO YA HAKI SAWA YANAWACOST & MWISHOWE NDOA KUYUMBA BLA KUJUA!!!!

Mengne nakubaliana na comments zko!!!
 
Kivipi mwanaume ni Boss?

Ndiye msimamizi mkuu wa kaya na rasilimali zote zilizomo!!
Ndiye mwenye kutoa direction na vision ya familia
Ndiye mwnye kuangalia mwenendo mzima WA familia inavotakiwa!
Mwsho, ndiye mwajili mkuu wa familia akiwemo mwanamke!!!
 
Ndio maana yake mjombaa Gracious Kama mie najiskia rahaaa naona nina usalama tosha na amani tele
Shida ni ukutane na gubegube, hata halijui watoto wamekula nini, wanavaa nini, wanasomaje.....akikuta kuku anakula akikuta mbuzi twende akikuta maharage asante yeye kuzurura tuuuu naa usharobaro. Wanaume wa hivi sio vichwa na wake zao wakishika usukani wanaume mnaona tabuuu----waacheni wameyataka wenyewee
CCEnnie

Hii nayo ni shida nyingine!!
 
Utakua na mtindio wa ubongo wewe

Nimesema wapi nataka kubadili chochote?

Mimi nimeuliza kuwa unataka ndoa ya mtindo upi na unipe sababu,wewe unadai nataka kubadili

Wewe ni mzima kweli?

Wewe ni hovyo kweli.Lazima utakuwa zao la shule za kata.

U wezo wako wa kuelewa ni mdogo mno.

Hata Common sense naona haipo.Kweli common sense is not common......

Hata kama umeshindwa kuelewa sentensi na kuja na tafsiri ya neno kwa neno....unaweza uelewa kitu gani....

No wonder wewe utakuwa wale wanaume wanatawaliwa na wake zao....

Pheeeeewwww
 
Nimeipenda sana hii!!!!!!

Waelezee mkuu Eiyer
Sio kulalama tu ooh sisi wanaume tunataka heshma toka kwa wake zetu!!
Mwanamke anayejitambua akiheshimu kichwa (mwanaume) kisichojielewa basi familia imekwisha...Mwanaume majukumu ati!! na mwanamke atakua msaidizi wake mkubwa na wa karibu
 
Ndiye msimamizi mkuu wa kaya na rasilimali zote zilizomo!!
Ndiye mwenye kutoa direction na vision ya familia
Ndiye mwnye kuangalia mwenendo mzima WA familia inavotakiwa!
Mwsho, ndiye mwajili mkuu wa familia akiwemo mwanamke!!!

Haya yote ni kwa mujibu wa nani?
 
Kuanzia kwenye heading.

Kivipi?

Heading inasema"Unataka ipi,kisasa au kizamani"?
Hebu niambie ni wapi heading ina assume kila mtu anataka ndoa?
 
ni mambo ya kueleweka kirahisi tu.

Jambo linaweza kuwa rahisi kwako lakini likawa gumu kwa mwingine

Hivyo ku assume tu kuwa ni rahisi ni kosa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom