Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Unataka ipi, kizamani au kisasa?

Wewe ni hovyo kweli.Lazima utakuwa zao la shule za kata.

U wezo wako wa kuelewa ni mdogo mno.
Inawezekana kuwa unasema kweli lakini haiwezi kuwa kweli kwa kusema tu kama mlevi
Tunahitaji ushahidi wa kauli zako hizi

Kama huna ushahidi haya yatakuwa maoni yako tu

.....And opinion is like ass,everyone has
Hata Common sense naona haipo.Kweli common sense is not common......
Unapiga ngoma na unaicheza mwenyewe
Hata kama umeshindwa kuelewa sentensi na kuja na tafsiri ya neno kwa neno....unaweza uelewa kitu gani....
Hii sentensi yako ni maelezo,swali au kitu gani?
No wonder wewe utakuwa wale wanaume wanatawaliwa na wake zao....
Endelea tu ku assume vitu vya hovyo

Kuna siku utakuja ku assume dada yako ni mkeo halafu ujaze watu
Pheeeeewwww
Huu ni mruzi ambao kuna shoga mmoja anapenda sana kuutumia hapa mtaani

Angalia isije kuwa ........!!!!!!!!
 
Waelezee mkuu Eiyer
Sio kulalama tu ooh sisi wanaume tunataka heshma toka kwa wake zetu!!
Mwanamke anayejitambua akiheshimu kichwa (mwanaume) kisichojielewa basi familia imekwisha...Mwanaume majukumu ati!! na mwanamke atakua msaidizi wake mkubwa na wa karibu
Wanawake wa aina yako ni wachache sana duniani!
 
Najiona kwakutumia nini?

Jamani huyu jamaa amewaiteni nyie "wengine" hamna akili

Hebu kujeni mumuadhibu!

Duh...we jamaa kweli mbumbumbu wa mwisho.......hivi hujistukii kwamba unajiharishia mbele ya watu.

Unacopy sehemu unazotaka ili uendelee kutukana watu....
 
Shangazi yako

Hata kama shangazi yangu aliwahi kuwa na matatizo hayo haiondoi umuhimu wa wewe kujibu swali hilo

Hebu nijibu basi mtoto mzuri
Ulishawahi kupata matatizo ya akili?
 
Duh...we jamaa kweli mbumbumbu wa mwisho.......hivi hujistukii kwamba unajiharishia mbele ya watu.
Kama nina matatizo ya kuhara kwanini nijibane?
Atakaeshangaa atakuwa ni mjinga kwakuwa hakuna ambae hajawahi kuharisha
Unacopy sehemu unazotaka ili uendelee kutukana watu....
Hujandika hayo?

Bisha tuone
Tena umeacha na space kabisa ili kuweka msisitizo hii hapa chini


Nishakushtukia we jamaa ni mngese sana...we ndo unajiona una akili sana...

Wengine hawana akili......
 
Inawezekana kuwa unasema kweli lakini haiwezi kuwa kweli kwa kusema tu kama mlevi
Tunahitaji ushahidi wa kauli zako hizi

Kama huna ushahidi haya yatakuwa maoni yako tu

.....And opinion is like ass,everyone has

Unapiga ngoma na unaicheza mwenyewe

Hii sentensi yako ni maelezo,swali au kitu gani?

Endelea tu ku assume vitu vya hovyo

Kuna siku utakuja ku assume dada yako ni mkeo halafu ujaze watu

Huu ni mruzi ambao kuna shoga mmoja anapenda sana kuutumia hapa mtaani

Angalia isije kuwa ........!!!!!!!!

Wewe una laana sio bure
 
Kama nina matatizo ya kuhara kwanini nijibane?
Atakaeshangaa atakuwa ni mjinga kwakuwa hakuna ambae hajawahi kuharisha

Hujandika hayo?

Bisha tuone
Tena umeacha na space kabisa ili kuweka msisitizo hii hapa chini

We ndo unajiona una akili sana na wengie hawana akili......

Ni utaahira na ungese kudhani kwamba wewe ni exceptional.....

Ni uku.ma na u.pumbaf kudhani kwamba unachokisema wewe ndio sahihi....

Ugonjwa unaokusumbua ni Attention seeking........

Again..nenda kafue chupi na ukamtawaze mkeo......
 
Kivipi?

Heading inasema"Unataka ipi,kisasa au kizamani"?
Hebu niambie ni wapi heading ina assume kila mtu anataka ndoa?

Heading ina assume unataka, swali lipo kwenye kisasa au kizamani, wakati kuna wengine hawataki zote na hivyo swali lako limefanya makadirio kwa wigo mfupi.
 
Heading ina assume unataka,
Kivipi?
swali lipo kwenye kisasa au kizamani, wakati kuna wengine hawataki zote na hivyo swali lako limefanya makadirio kwa wigo mfupi.
Kwani linamlazimisha kila mtu ajibu?

Unawezaje kuandika kitu cha kila mtu?

Kama kuna mtu hataki aina zote si unapita tu?
Hakuna aliyelazimishwa kusoma kilichoandikwa achilia mbali kujibu kilichoulizwa

Swali langu limelenga wigo huo na haikuwa lazima wigo uwe mdogo zaidi ya huo au mkubwa zaidi ya huo kama kuna mwingine anataka wigo mdogo au mpana aanzishe wake!
 
We ndo unajiona una akili sana na wengie hawana akili......
Najiona kwa kutumia nini?
Ni utaahira na ungese kudhani kwamba wewe ni exceptional.....
Mataahira wana sifa moja kubwa

Kuona mambo ambayo hayapo kwenye uhalisia
Sasa kati ya haya unayoandika hapa hakuna hata moja ambalo umethibitisha kwa hakika kuwa lipo

Tunawezaje kukutofautisha na hao mataahira unaowataja hapa?
Ni uku.ma na u.pumbaf kudhani kwamba unachokisema wewe ndio sahihi....
Hahahahahahaaaa

Huyu jamaa ni mgonjwa hasa

Hivi unaweza kuthibitisha hapa vile ambavyo mimi nadhani?
Kama huwezi kubali kuwa wewe ni taahira kwasababu mataahira ndio huweza hata kudai Bill Clinton amekwenda kupanda milima ya Uluguru wakati hakuna jambo kama hilo kwenye uhalisia
Ugonjwa unaokusumbua ni Attention seeking........
Moja kati ya kanuni za maumbile inasema kuwa yale ambayo unayafanya wewe unaweza kuyaona kwa mwenzako na ukadhani yapo kwenye uhalisia kumbe ni ndoto yako tu

Moja kati ya hayo ni hili
Huyu jamaa anatafuta attention halafu anaona kuna watu kama yeye humu
Dogo acha kuota ndoto za mchana
Again..nenda kafue chupi na ukamtawaze mkeo......
Hili ni jukumu langu na sistahili kuambiwa na mgonjwa kama wewe

Na kwa taarifa yako naifurahia sana hii kazi kwasababu huyo unaemzungumzia ni mke wangu mapenzi

Sema jingine dogo!
 
Kivipi?

Kwani linamlazimisha kila mtu ajibu?

Unawezaje kuandika kitu cha kila mtu?

Kama kuna mtu hataki aina zote si unapita tu?
Hakuna aliyelazimishwa kusoma kilichoandikwa achilia mbali kujibu kilichoulizwa

Swali langu limelenga wigo huo na haikuwa lazima wigo uwe mdogo zaidi ya huo au mkubwa zaidi ya huo kama kuna mwingine anataka wigo mdogo au mpana aanzishe wake!

Precisely my point.

Sijasema umemlazimisha mtu.

Ila tu, kama unaongelea habari nzima ya uzamani.na.usasa hata hiyo ndoa ya kisasa inaweza kuwa haina usasa wa kutosha kwa dunia ya sasa, kwa hiyo usasa wako uko obsolete kwa watu wanaofuatilia cutting edge usasa.

Na as long as unaongelea habari za usasa, wigo wako at the same umejaribu kukumbatia usasa na kushindwa.

Ukisema ndivyo ulivyotaka utakuwa unaleta habari za "sizitaki mbichi hizi".

Acheni kwenda kwa rigid formula kwamba kila mtu anataka habari za kuoa/ kuolewa.

Watu wengi tu hawafagilii stereotypical life hii that is bent on an outdated orthodoxy.
 
Precisely my point.

Sijasema umemlazimisha mtu.

Ila tu, kama unaongelea habari nzima ya uzamani.na.usasa hata hiyo ndoa ya kisasa inaweza kuwa haina usasa wa kutosha kwa dunia ya sasa, kwa hiyo usasa wako uko obsolete kwa watu wanaofuatilia cutting edge usasa.
Unaposema naongelea habari nzima ya usasa na uzamani bila kufafanua ni kwenye suala gani unakuwa huutendei haki huu uzi

Kuna mtu anaweza kuja na kudhani huo uzamani na usasa ni wa mavazi au kucheza mpira wa miguu wakati sizungumzii hilo jambo hapa
Na as long as unaongelea habari za usasa,
Usasa wa jambo gani?
wigo wako at the same umejaribu kukumbatia usasa na kushindwa.
Umejaribu kukumbatia usasa wapi?
Kwanini umeshindwa?
Ukisema ndivyo ulivyotaka utakuwa unaleta habari za "sizitaki mbichi hizi".
Kivipi?

Unalijua hili kwa hakika?

Kama ndio thibitisha
Acheni kwenda kwa rigid formula
Akina nani hao?

Mimi ndio nimeandika hii mada na hakuna niliyemshirikisha hata mmoja
Hao unaodai waache kwenda sijui kwa rigid formula ni akina nani?
Au unaota
kwamba kila mtu anataka habari za kuoa/ kuolewa.
Hii mambo ya ku generalize ndio siitaki na wala sijafanya hivyo hapa
Wewe unaitoa wapi?

Nilikuuliza inawezekanaje mtu akaandika kitu tena kwenye forum kama hii hapa ambayo hata theluthi ya watu walioko duniani hawaijui?

Wewe inaonekana una woga ndio maana ulipoona nazungumzia ndoa ukajistukia kwa kudhani namzungumzia kila mtu wakati hakuna mwenye uwezo wa kumzungumzia kila mtu
Watu wengi tu hawafagilii stereotypical life hii that is bent on an outdated orthodoxy.
Hakuna asielikana hili lakini wewekuja hapa na kuanza kutoa povu huku ukidai "sio kila mtu" anataka ndoa ni kuonesha vile usivyojiamini

Hao wengi unaosema ni kulinganisha na nini?

Umefanya utafiti upi na kujua kuwa ni wengi?
Hayo mamlaka ya kuwasemea hao "wengi" umeyatoa wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom