Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)

lakin pia heshima haiwez kuwepo kama
huna upendo na unaye muheshimu.


wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.

Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.

Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.

Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.

Very true words,tatizo bado nipo Analogy ngekugongekea like apo tehteh
 
Nimeishia Kucheka tu,mama Ngaiza hata ukimwambia umependeza kwake ni unyanyasaji qa Kijinsia.Khaaaaa!!!!!labda aambiwe na mwanamke mwenzie

kumbe tupo wengi tuliopitia kwenye mikono yake??
Binafsi mie nafkiri nilikuwaga binti pekee ambaye nilikuwa napingana naye sana kwenye misimamo yake na adi nikamwambiaga ivi kwann nyie women activist always ni loosers?
manake kama msingeona umuhimu wa wanaume why marrying and divorcing, ungekaa tu kama single ingeleta maana zaid. Eti ooh there are times a woman needs to have kids so what??................kama humtak mwanume nenda kapandikizwe mbegu kwa Prof Kaisi basi......................lkn ata mbegu zenyewe bado zatoka kwa mwanume...

yaani darasan alikuwa hapendi wanaume acha tu................

But am telling you kuna aina ya wanawake wanaharakati wa kike ambao wanataman siku moja watu waka emaabara wagundue artificial sperm ambayo inaweza kuwa crossed na ova ikaleta mtoto ama basi wagundue CHROMOSOMES tu ambazo zitaweza kuwa crossed na za mwanamke ili zilete mtoto.
 
Player aliyebadilika.....saa hizi anataka wanawake wenye heshima zao....lol....gotta love Sheldon aisee,ametulia
Si unaona ehhh halafu akipenda dogodogo!!Kama raylee ha ha ha :lol::lol::lol::lol::lol:
 
kumbe tupo wengi tuliopitia kwenye mikono yake??
Binafsi mie nafkiri nilikuwaga binti pekee ambaye nilikuwa napingana naye sana kwenye misimamo yake na adi nikamwambiaga ivi kwann nyie women activist always ni loosers?
manake kama msingeona umuhimu wa wanaume why marrying and divorcing, ungekaa tu kama single ingeleta maana zaid. Eti ooh there are times a woman needs to have kids so what??................kama humtak mwanume nenda kapandikizwe mbegu kwa Prof Kaisi basi......................lkn ata mbegu zenyewe bado zatoka kwa mwanume...

yaani darasan alikuwa hapendi wanaume acha tu................

But am telling you kuna aina ya wanawake wanaharakati wa kike ambao wanataman siku moja watu waka emaabara wagundue artificial sperm ambayo inaweza kuwa crossed na ova ikaleta mtoto ama basi wagundue CHROMOSOMES tu ambazo zitaweza kuwa crossed na za mwanamke ili zilete mtoto.

Hivi ni yule wa UDSM anazungumzwa??? kama ni yeye...Yule mama ana dharau tu ila alikuwa ana mahusiano hadi na wanaume wadogo sana kwake,umuhimu wa wanaume hautawahi kuondoka hata hizo artificial sperm zikiwepo....presence yao kwenye maisha yetu ni zaidi ya mbegu za uzazi na kibibi kinajua hilo.....mimi nilikuwaga naona kachanganyikiwa....I miss gender Unit though...lol....kuwa submissive,kuna raha yake kama mtu anakupenda,sijui kinamshinda nini au ni elimu yake?? Kule Business school atleast wameolewa wengi, tulikuwa na role models wa tofauti....lol
 
Hivi ni yule wa UDSM anazungumzwa??? kama ni yeye...Yule mama ana dharau tu ila alikuwa ana mahusiano hadi na wanaume wadogo sana kwake,umuhimu wa wanaume hautawahi kuondoka hata hizo artificial sperm zikiwepo....presence yao kwenye maisha yetu ni zaidi ya mbegu za uzazi na kibibi kinajua hilo.....mimi nilikuwaga naona kachanganyikiwa....I miss gender Unit though...lol....kuwa submissive,kuna raha yake kama mtu anakupenda,sijui kinamshinda nini au ni elimu yake?? Kule Business school atleast wameolewa wengi, tulikuwa na role models wa tofauti....lol

ndo uyo uyo yaani sijui nini kilimsibu kwakweli. nafkiri ni kweli alikuwa kachanganyikiwa sio mzima.Ukwlei ni kwamba for a woman to submissive ni njia pekee yakuonyesha wisdom. Kuna muda mwingine ukikaa kimya unajionea mambo ata kama yalikwa makubwa yanapita tuu.

Kuna siku moja nilikuwa nangalia filam za kibongo kwenye basi inaitwa Chausiku iyo filam yaan huyo mdada (chausiku) ni full ubabe hana pakuwa mpole wala nini kama vile kachanganyikiwa sasa ikatokea akapata mchumba. Huyu mchumba akamtafutia trainer ili amtrain kuwa mtulivu lkn chausiku mwenyewe sasa aliwaka kama moto wa kifuu. Ukweli ukitizama ile filam utagundua kwamba upole, unyenyekevu, heshima ni hulka sahihi ya mwanamke
 
You are wrong Luv. The way I know gorgeousmimi from reading her posts she is not a person to target a single person...Unajua hivi vitu ni kama mahubiri...mhubiri yeyote anayeijua kazi yake na aina ya watu anaowahubiria akitoa mahubiri iwe masjid au kanisani basi several people huwa wanawaza "hivi huyu jamaa huwa anafuatilia mienendo yangu au?"

Point ni kwamba katika jamii huwa watu walewale wanafanya mambo yaleyale..after all cant you see wanawake wengi (sio wote) wana matatizo hayo?

Baada ya hapo, once again gorgeousmimi, you have well exercised those cells in your brain..una akili kama watu wa Bukoba

Thumbs up (mikono ishaanza kuniuma kwa ku-clap)

Preach,...have a name,have a name!..
 
ndo uyo uyo yaani sijui nini kilimsibu kwakweli. nafkiri ni kweli alikuwa kachanganyikiwa sio mzima.Ukwlei ni kwamba for a woman to submissive ni njia pekee yakuonyesha wisdom. Kuna muda mwingine ukikaa kimya unajionea mambo ata kama yalikwa makubwa yanapita tuu.

Kuna siku moja nilikuwa nangalia filam za kibongo kwenye basi inaitwa Chausiku iyo filam yaan huyo mdada (chausiku) ni full ubabe hana pakuwa mpole wala nini kama vile kachanganyikiwa sasa ikatokea akapata mchumba. Huyu mchumba akamtafutia trainer ili amtrain kuwa mtulivu lkn chausiku mwenyewe sasa aliwaka kama moto wa kifuu. Ukweli ukitizama ile filam utagundua kwamba upole, unyenyekevu, heshima ni hulka sahihi ya mwanamke

Ni kweli kabisaaa,kuna mengi yakufaidi ukiwa mpole,mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwanaume sahihi....na nilichokuja kugundua ile sentensi ya kuvipa vitu muda ina maana kubwa sana....hakuna watu wazuri kwenye kujirudi kama wanaume.....atafanya afanyalo,ukitulia isivyo kawaida au ukajiweka pembeni kidogo akili itamrudi na atajua cha kufanya maisha yaendelee....ubabe unamfaidisha ibilisi ambaye saa nyingine hata hakuwepo....lol
 
You are wrong Luv. The way I know gorgeousmimi from reading her posts she is not a person to target a single person...Unajua hivi vitu ni kama mahubiri...mhubiri yeyote anayeijua kazi yake na aina ya watu anaowahubiria akitoa mahubiri iwe masjid au kanisani basi several people huwa wanawaza "hivi huyu jamaa huwa anafuatilia mienendo yangu au?"

Point ni kwamba katika jamii huwa watu walewale wanafanya mambo yaleyale..after all cant you see wanawake wengi (sio wote) wana matatizo hayo?

Baada ya hapo, once again gorgeousmimi, you have well exercised those cells in your brain..una akili kama watu wa Bukoba

Thumbs up (mikono ishaanza kuniuma kwa ku-clap)

ndo.mana nikaweka neno kidding lol afu kuna ujumbe wako jukwaa la mapicha picha
 
Respect is not given, its earned.

Kila mtu angeelewa hilo tungeheshimiana kwa msingi wa kwamba nnaetaka aniheshimu hawezi kuniheshimu kwasababu tu natakama aniheshimu. Ama kwasababu namlazimisha kwa kipigo ama maneno kuniheshimu. Sio wanaume wala wanawake, kila mmoja amheshimu mwenzie ili nae aheshimiwe.

Pia heshima inahamasisha upendo. Ni ngumu sana kumpenda mtu usiyemuheshimu na ni ngumu zaidi kumpenda mtu asiyekuheshimu.

Preach,..Have a name,..have a name.
 
ningepewa nafasi ya ku elezea mstari wa biblia
"wanaume wapendeni wake zenu, wake waheshimu waume zenu".
ningesema
"kama ilivyo ngumu mwanume kumpenda mwanamke ndo ilivyo ngumu mwanamke kumheshimu mume.."
au
"mwanaume huthamini heshima kuliko mapenzi, kama alivyo mwanamke kuheshimu mapenzi kuliko heshima"

inatupasa kufanya wajibu wetu.
 
Ni kweli kabisaaa,kuna mengi yakufaidi ukiwa mpole,mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwanaume sahihi....na nilichokuja kugundua ile sentensi ya kuvipa vitu muda ina maana kubwa sana....hakuna watu wazuri kwenye kujirudi kama wanaume.....atafanya afanyalo,ukitulia isivyo kawaida au ukajiweka pembeni kidogo akili itamrudi na atajua cha kufanya maisha yaendelee....ubabe unamfaidisha ibilisi ambaye saa nyingine hata hakuwepo....lol

Kunabinti mmja alianza kuongea maneno ya kejeri,kiburi na ubabe..nikamtema kimya kimya coz sipendi kelele.Soon akaanza kuomba msamaha lakini nikamchinjia mbali.Huwa sipendi zarau.
 
Back
Top Bottom