sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)
lakin pia heshima haiwez kuwepo kama
huna upendo na unaye muheshimu.
wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.
Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.
Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.
Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.
Very true words,tatizo bado nipo Analogy ngekugongekea like apo tehteh