Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Last edited by a moderator:
Hellow wapendwa wangu,

Leo tukumbushiane kuhusu heshima.Mwanamke/mwanaume unataka kuheshimiwa jiheshimu.

A real woman of virtue need to have class. Being all trashy,nasty,wild and rude with your big mouth wont make you earn any respect from men actually they will look so down low at you and despise you.

Kama unataka kuargue,argue kwa hoja na ujumbe utafika na kama ni wakusikika utasikika.Nimejifunza kitu kimoja maishani na katika kazi zangu unataka usikilizwe be humble, jinsi unavyowakilisha na kutoa ujumbe wako matters a lot.

"You want people to respect you,respect them and be a good listener"

Hata kama mwenzi wako akikutukana hupaswi kufungua mdomo wako kumtukana. Dada yangu anasema nyamaza kimya,mwanaume si mtu wa kutukanana nae atakudharau na akudhalilishe ujute,na kipigo utapewa juu.

Na wanaume jamani tafadhali mpunguze jazba na nyie mjitahidi kuwa humble, hizi commands and orders si nzuri kwa kweli. Hakuna mtu anayetaka kupelekeshwa ka punda. Tutumie nyama zetu za ulimi ipasavyo.

Wasalaam gorgeousmimi
Shida ipo hivi, ukimheshimu sana mwanamke anakuchukulia wewe ni dhaifu kwake.
 
Ni kweli kabisaaa,kuna mengi yakufaidi ukiwa mpole,mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwanaume sahihi....na nilichokuja kugundua ile sentensi ya kuvipa vitu muda ina maana kubwa sana....hakuna watu wazuri kwenye kujirudi kama wanaume.....atafanya afanyalo,ukitulia isivyo kawaida au ukajiweka pembeni kidogo akili itamrudi na atajua cha kufanya maisha yaendelee....ubabe unamfaidisha ibilisi ambaye saa nyingine hata hakuwepo....lol
I can't belive this..hongereni sana
 
soma hapa tyta kasema kitu kama changu angalia ulivyojibu

then hapa mi nimesema kidding unasema watu wanapenda ku personalize vitu watu gani na mm ndo niliesema huishi katika maandiko yako una pretend
There you go again.....Making it all personal ha ha ha :lol::lol::lol😛ole yako.....
 
ndo.mana nikaweka neno kidding lol afu kuna ujumbe wako jukwaa la mapicha picha

Yaani nilipoamka huku jua la asubuhi linanimulika usoni kwa tabasamu mwanana toka kwa Muumba nilihisi something like this will happen..thank you precious one!!!
 
when uvumilivu ukiisha aiseee nitarudisha mapigo wakat yeye ana jihisi kupo shwari ..... revenge its good for heart
Hahaha, hasira unaweza kuzifanyia kazi wakati zimekushika vilivyo lakini zikishatulia huwezi tena maana hasira sii maruani useme utayapandisha tena.
 
Hellow wapendwa wangu,

Leo tukumbushiane kuhusu heshima.Mwanamke/mwanaume unataka kuheshimiwa jiheshimu.

A real woman of virtue need to have class. Being all trashy,nasty,wild and rude with your big mouth wont make you earn any respect from men actually they will look so down low at you and despise you.

Kama unataka kuargue,argue kwa hoja na ujumbe utafika na kama ni wakusikika utasikika.Nimejifunza kitu kimoja maishani na katika kazi zangu unataka usikilizwe be humble, jinsi unavyowakilisha na kutoa ujumbe wako matters a lot.

"You want people to respect you,respect them and be a good listener"

Hata kama mwenzi wako akikutukana hupaswi kufungua mdomo wako kumtukana. Dada yangu anasema nyamaza kimya,mwanaume si mtu wa kutukanana nae atakudharau na akudhalilishe ujute,na kipigo utapewa juu.

Na wanaume jamani tafadhali mpunguze jazba na nyie mjitahidi kuwa humble, hizi commands and orders si nzuri kwa kweli. Hakuna mtu anayetaka kupelekeshwa ka punda. Tutumie nyama zetu za ulimi ipasavyo.

Wasalaam gorgeousmimi

Lugha ya kiswahili hiujui hadi uchanganye na kiingereza? !!
 
Back
Top Bottom