KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Kitu ambacho wengi hawajui ni kwamba matendo ya wengine kwako yana akisi wewe ulivyo...kwa maana nyingine ni kwamba unavyojiweka ndivyo watu watakavyo kuchukulia....jambo lolote linaanza na wewe haijalishi liwe baya au zuri....vile ambavyo unawatendea watu ndivyo hivyo hivyo na wewe utakavyo tendewa...
.ukiwaheshimu watu na kuwatendea mazuri, bila shaka watu watafurahia uwepo wako popote utakapo kuwepo chini ya jua....ukijiheshimu na kuheshimu wengine bila kujali hali zao za maisha wala muonekano wao bila shaka utapata heshima yako popote utakapokuwa chini ya jua......
kuna wanoashangaa kuwa ni jinsi gani mtu Fulani hutokea kuwa kipenzi cha watu....watu wengine hustaajabu kwanini mtu Fulani hutokea kuheshimiwa sana na watu.....KILA KITU KINAANZA NA WEWE............
.ukiwaheshimu watu na kuwatendea mazuri, bila shaka watu watafurahia uwepo wako popote utakapo kuwepo chini ya jua....ukijiheshimu na kuheshimu wengine bila kujali hali zao za maisha wala muonekano wao bila shaka utapata heshima yako popote utakapokuwa chini ya jua......
kuna wanoashangaa kuwa ni jinsi gani mtu Fulani hutokea kuwa kipenzi cha watu....watu wengine hustaajabu kwanini mtu Fulani hutokea kuheshimiwa sana na watu.....KILA KITU KINAANZA NA WEWE............
Last edited by a moderator: