Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)

lakin pia heshima haiwez kuwepo kama huna upendo na unaye muheshimu.

wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.

Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.

Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.

Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.

Aiseeeeh! Aksante kwa kuniwezesha kusoma maneno yanayoupendeza moyo wangu.
 
hizi busara zako zinanifanya nifikirie kuongeza mke wa pili..can u plz be my second wife??..ukikubali ntakuzawadia meli na bahari yake

Nope...I want to be someones first choice and priority....
 


A real woman of virtue need to have class.gorgeousmimi
Hahaha siku hizi naona unatusomesha vizuri na mada zako.
Siyo kwamba sehemu zingine sijazikubali , ila huo mstari una ujumbe mzito Sana kwa wanawake aseeeeeh, napenda Sana mwanamke anayetambua thamani yake , anayetambua heshima ni nini , majibu wake na haki zake na asipozipata adai vipi.
Nje ya hapo unaonekana takataka , mchafu n.k.
Mwanamke kujitambua ni muhimu.
 
Hahaha siku hizi naona unatusomesha vizuri na mada zako.
Siyo kwamba sehemu zingine sijazikubali , ila huo mstari una ujumbe mzito Sana kwa wanawake aseeeeeh, napenda Sana mwanamke anayetambua thamani yake , anayetambua heshima ni nini , majibu wake na haki zake na asipozipata adai vipi.
Nje ya hapo unaonekana takataka , mchafu n.k.
Mwanamke kujitambua ni muhimu.
Ahsante asakuta same....maisha ni safari ndefu ya mwanaadamu na sina budi kusema tunajifunza vitu vipya kila kukicha ni kweli nimejifunza,najifunza na nitaendelea kujifunza kila kukicha kupitia kwenye makosa yangu na ya wengine na experience ya maisha haya.What we all need is inspiration and i have achieved that!Ahsante kwa mchango wako kwenye uzi huu!
 
Last edited by a moderator:
Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)

lakin pia heshima haiwez kuwepo kama huna upendo na unaye muheshimu.

wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.

Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.

Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.

Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.

Ahsante kwa mchango wako kwenye uzi huu dada yangu,nasema dada yangu kwasababu umeongea kama yeye.Umetunukuu wanawake jinsi tulivyo na wanaume jinsi walivyo na ni kitu ambacho walio wengi hawakitambui.Ni matumaini yangu wengi watajifunza kitu kupitia kwenye mchango wako!
 
Long time ago someone says...“if the mothers ruled the world, there would be no Goddamn wars in the first place"....
I think she was talking about this kind of mothers.... Love u mpaka Basi gorgeousmimi
 
Last edited by a moderator:
Respect is not given, its earned.

Kila mtu angeelewa hilo tungeheshimiana kwa msingi wa kwamba nnaetaka aniheshimu hawezi kuniheshimu kwasababu tu natakama aniheshimu. Ama kwasababu namlazimisha kwa kipigo ama maneno kuniheshimu. Sio wanaume wala wanawake, kila mmoja amheshimu mwenzie ili nae aheshimiwe.

Pia heshima inahamasisha upendo. Ni ngumu sana kumpenda mtu usiyemuheshimu na ni ngumu zaidi kumpenda mtu asiyekuheshimu.
 
Back
Top Bottom