Unatafuta kiwanja Dodoma?

Ulivyonambia lipo karibu na jwtz nimenza kuogopa, hua mipaka yao wanaijua wenyewe, baada ya miaka miwili unashangaa wanakuambia ni eneo lao!
 
MAHALI ;-Nala-chinangali(karibu na mzani)
-singida/mwanza/tabora main road

UMBALI ;-15Km toka city centre
-2km toka main road

UKUBWA(SQM) + BEI(TZS)
A. 825----------------------- 2,475,000/=
B. 892------------------------2,676,000/=
C. 888------------------------2,664,000/=
D. 817------------------------2,451,000/=
E. 854------------------------2,562,000/=
F. 862-------------------------2,586,000/=
G.827-------------------------2,481,000/=
H.1338-----------------------4,014,000/=

HUDUMA ZA KIJAMII
-Umeme uko umbali wa 1km tu toka viwanja vilipo
-barabara inapitika vizuri

KUPIMWA ; viwanja vyote vimepimwa tayari na manispaa ya dodoma na tayari vina barua ya kulipia kwa ajili ya hati
-wasiliana nami kupata kopi ya document kwaajili ya kuhakikisha manispaa uhalali wa umiliki kabla ya kufanya manunuzi

FURSA
1.Ni sehemu nzuri kwa makazi na tambarare
2.Bei yake ni nafuu sana
3.Viwanja vikubwa-vinakupa nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine
4.Bei ni ofa kubwa(huwezi pata ofa kama hii)
MALIPO
-Cash

MAWASILIANO
+255622111186(Whatsap)
+255767833496

OPEN DOORS TO BETTER LIVING
THANK ME LATER
IMG_20181203_104123_8.jpeg
 
Mkuu tunaweza kusubiri nikaja kukagua kipindi cha mvua, DODOMA hii huwezi sehemu ya mkondo wa maji kirahisi
Hakuna mkondo wa maji,siwezi kukusubiri hii ni biashara
Ila naruhusu mtu kufuatilia uhalali wa umiliki manispaa,njoo ona ukiridhika chukua kopi ya document nenda manispaa hakiki njoo tufanye biashara
 
DO YOU WANT TO BUILD HOTEL/LODGE/MOTEL?

LOCATION ; Ipagala west-just 70m from prime minister's road

DISTANCE :- 3km from city centre
- 70m from prime minister's mainroad

PLOT SIZE ; 2700 square metres

SURVEY ; Surveyed

TITLE DEED ; clean

NEIGHBOURHOOD
- 60m from city council mayor's residency
-120m from UN offices
-980m from prime minister's residency

PLOT USE
Good for hotel/lodge/motel and the likes

AMENITIES
-Water available close to the site
-electricity available close to the site
-Ease acccessible Road+good infrastructure

WHY GOOD FOR THE HOTEL/LODGE/MOTEL?
-close to city centre and just 70m from tarmac road
-Restful location with good neighbourhood
-close to night club+bar (royal village)
-close to conference centre(african dream)
-close to function centre (african dream)
- close to pubs+bars like "Wazee pub"
-international offices like UN,city council mayor's residency and prime minister's residency makes the location prime,attractive with high level of security which is good for customers

PRICE ; 70,000,000/= TZS

SITE FEE : 50,000/= TZS

FOR MORE INQUIRIES
IMG_20181220_113320_162.jpeg
IMG_20181220_113320_156.jpeg
IMG_20181220_113320_154.jpeg
 
LOCATION ; Mlimwa C-near prime minister's residency

DISTANCE ;- 3Km from city centre
- 950m from main road

PLOT SIZE : 400 SQM surveyed

DOCUMENT ; Offer

PLOT USE ; residency

AMENITIES ; water+ electricity available at the site

PRICE ; 8,500,000/= (fixed)

NB; Below are pictures of the plot+the neighbourhood

For more inquiries
+255622111186(whatsap)
+255767833496
IMG_20181220_161520_800.jpeg
IMG_20181220_161520_801.jpeg
IMG_20181220_145832_1.jpeg
IMG_20181220_161520_813.jpeg
 
Nauza kiwanja changu mwenyewe

MAHALI ;Kiko michese substation-iringa Road(Nyuma ya usalama wa Taifa)

UMBALI ; 7km toka city centre

UKUBWA ; 4032 SQM

KUPIMWA ; Kimeshahakikiwa(reconnaissance),ila kinapakana na mtu ambaye alishapimiwa na kuna bicons za kushea upande mmoja(utaona kwenye picha)

MAJI+UMEME ; Umeme tayari nguzo ninayo kwenye eneo langu.maji yako jirani OTHER DETAILS
1.kina mapagale mawili ndani yake-moja lina vyumba 12 na jingine lina vyumba 02
2.Kuna kisima cha asili ndani yake
3.kuna mikorosho+mihogo+miembe ndani yake
4.Ni eneo zuri sana kwa makazi na unapata nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine kama vile ufugaji,n.k

BEI ; Milioni 18 Tu kwa malipo ya CASH
MALIPO YA AWAMU ;

A. Milioni 21 kwa miezi 3,kila mwezi milioni 7
B.Milioni 24 kwa miezi 6,kila mwezi milioni 4

Pia tunaweza zungumza zaidi,maelewano yapo.
Kwa mawasiliano na picha zaidi tuwasiliane
+255622111186(whatsap)
+255767833496

NB ; Eneo ni langu na sio dalali
IMG_20181230_071253_730.jpeg
IMG_20181230_071253_731.jpeg
IMG_20181230_071253_739.jpeg
IMG_20181230_071253_741.jpeg
IMG_20181230_071253_733.jpeg
IMG_20181230_071253_740.jpeg
IMG_20181230_071253_735.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ELFU NNE TU KWA SQUARE METRE

MAHALI ;-Nala-chinangali(karibu na mzani)
-singida/mwanza/tabora main road

UMBALI ;-15Km toka city centre
-400m toka main road

UKUBWA(SQM) + BEI(TZS)
A. 657----------------------- 2,628,000/=
B. 772------------------------3,088,000/=
C.1082------------------------4,328,000/=
D. 1083------------------------4,332,000/=

HUDUMA ZA KIJAMII
-Umeme hauko mbali na viwanja
-barabara inapitika vizuri na ni karibu kabisa na lami

KUPIMWA ; viwanja vyote vimepimwa tayari na manispaa ya dodoma na tayari vina barua ya kulipia kwa ajili ya hati
-wasiliana nami kupata kopi ya document kwaajili ya kuhakikisha manispaa uhalali wa umiliki kabla ya kufanya manunuzi

FURSA
1.Ni sehemu nzuri kwa makazi na tambarare
2.Bei yake ni nafuu sana
3.Viwanja vikubwa-vinakupa nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine
4.Bei ni ofa kubwa(huwezi pata ofa kama hii)
MALIPO
-Cash

MAWASILIANO
+255622111186(Whatsap)
+255767833496

OPEN DOORS TO BETTER LIVING
THANK ME LATER

NB ; Huwezi pata ofa kama hii kokote pale hivyo changamkia fursa hii
IMG_20181216_192335_508.jpeg
IMG_20181216_153047_2.jpeg
IMG_20181216_152905_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom