chenene ndio wapi bosi... naomba nikutafuteBora niende Chenene tu umbali huo upo sawa. Na kule hekari zote hizo unapata kwa laki 3 . wamasai wanauza
Ndoto nzuri hii Mkuu!membe akiingia ikulu ofisi zote zinarudi dar na watu wanahamia Dar so mkuu jitahidi uliuze mapema
ahhahaahahahmembe akiingia ikulu ofisi zote zinarudi dar na watu wanahamia Dar so mkuu jitahidi uliuze mapema
Hakuna mkondo wa maji,siwezi kukusubiri hii ni biasharaMkuu tunaweza kusubiri nikaja kukagua kipindi cha mvua, DODOMA hii huwezi sehemu ya mkondo wa maji kirahisi
Mods... Hopefully mmeshafanya yenu...
JF hatutaki upuuzi
Upuuzi peleka kwa Mark Zuckerberg
Sawa na upana ngapi na urefu ngapi ,ili nione namnaUKUBWA ; 4032 SQ