Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 899
ENEO LA BIASHARA+ MAKAZI-DODOMA(Ukisikia bahati ndio hii)
MAHALI[emoji666]Michese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa).
-Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)
UMBALI[emoji666]Kilomita 9 tu toka katikati ya jiji-Dodoma
UKUBWA[emoji666]square metres 1008
FRAME ZA BIASHARA[emoji666]kina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.
HUDUMA ZA KIJAMII[emoji666]maji,umeme viko jirani.
BARABARA[emoji666]Ni eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.
KUPIMWA; Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri tu hati.(Tafadhali tazama mchoro kwenye picha)
FURSA ZILIZOPO
[emoji666]Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule.Daladala husimamama hapo kushusha abiria!!Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka
[emoji666]Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara
[emoji666]Biashara kama vile hotel,mavazi,pub/bar,hardware,mbao,tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion,miganga,chidachi) yanakua kwa kasi sana.utaona kwenye picha
[emoji666]Huduma kama vile kituo cha afya,duka la dawa,bar&lodge,migahawa ni chache sana.Hivyo tumia fursa hii mapema!!!Kazi ni kwako
MALIPO
[emoji666]unaweza lipa cash au kwa awamu
[emoji666] MALIPO YA CASH
bei ya eneo lote+frame zake ni milioni 16 Tu
[emoji666] MALIPO YA AWAMU
-milioni 18 (ndani ya miezi minne,yaani milioni 4.5 kila mwezi)
-Milioni 20(ndani ya miezi. sita,yaani takribani milioni 3.3 kila mwezi)
CONTACTS
0767833496(whatsap)
0622111186
Nasemaje; Mwenye macho haambiwi ona na mwenye kuona fursa kama hii hawezi iacha.
Eneo ni mali yangu halali na sio dalali
MAHALI[emoji666]Michese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa).
-Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)
UMBALI[emoji666]Kilomita 9 tu toka katikati ya jiji-Dodoma
UKUBWA[emoji666]square metres 1008
FRAME ZA BIASHARA[emoji666]kina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.
HUDUMA ZA KIJAMII[emoji666]maji,umeme viko jirani.
BARABARA[emoji666]Ni eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.
KUPIMWA; Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri tu hati.(Tafadhali tazama mchoro kwenye picha)
FURSA ZILIZOPO
[emoji666]Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule.Daladala husimamama hapo kushusha abiria!!Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka
[emoji666]Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara
[emoji666]Biashara kama vile hotel,mavazi,pub/bar,hardware,mbao,tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion,miganga,chidachi) yanakua kwa kasi sana.utaona kwenye picha
[emoji666]Huduma kama vile kituo cha afya,duka la dawa,bar&lodge,migahawa ni chache sana.Hivyo tumia fursa hii mapema!!!Kazi ni kwako
MALIPO
[emoji666]unaweza lipa cash au kwa awamu
[emoji666] MALIPO YA CASH
bei ya eneo lote+frame zake ni milioni 16 Tu
[emoji666] MALIPO YA AWAMU
-milioni 18 (ndani ya miezi minne,yaani milioni 4.5 kila mwezi)
-Milioni 20(ndani ya miezi. sita,yaani takribani milioni 3.3 kila mwezi)
CONTACTS
0767833496(whatsap)
0622111186
Nasemaje; Mwenye macho haambiwi ona na mwenye kuona fursa kama hii hawezi iacha.
Eneo ni mali yangu halali na sio dalali