Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 898
- Thread starter
- #121
Viwanja vipya sokoni
Huna vya block ZE?MAHALI-Michese
KWA WASIOPAFAHAMU MICHESE
-Michese ni barabara ya iringa
-kufika michese unapita barabara ya vumbi inayokatiza mirembe-kikuyu-usalama wa taifa na kufika michese
-michese inapakana na chidachi
UMBALI TOKA CITY CENTRE
-michese iko umbali wa kilomita 6 toka city centre ambapo ni karibu zaidi kuliko kisasa(7km)
UMBALI WA VIWANJA TOKA BARABARA YA LAMI
-Mita 100(dakika 1 kwa mguu)
KUPIMWA
-viwanja vimepimwa na manispaa yenyewe na vina document(in-voice) na hati inatoka kwa jina lako
MIUNDO MBINU
-Huduma za maji+umeme haziko mbali
-Barabara nzuri na kubwa ya lami inayopitika vizuri
MANDHARI
-Viwanja hivi vinatizamana na itega ambapo watu wanajenga maghorofa matupu.
-viwanja hivi viko karibu kabisa na shule mpya itayojengwa
-Viwanja hivi viko karibu na soko jipya la michese linapojengwa
BEI ZA VIWANJA
-kama zilivyoandikwa kwenye jedwali hapo juu
NB-serekali(kupitia manispaa) wao wanauza sh.8,000/= kwa square metre na hapa tunauza 6,000/= tu kwa square metre
WAHI KWANI VILIKUWA VIWANJA 31 NA SASA VIMEBAKI 19 TU.
-HAKUNA MALIPO YA AWAMU NJOO NA CASH KABISA
ZINGATIA-MWISHO WA OFA HII NI 29/07/2019 SAA 3 USIKU.
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0767833496
0622111186
View attachment 1138695
Nitafute whatsap nkutumieHuna vya block ZE?
Sawa mkuuPandeni miti basi
Msaada mkuu. Hizo nyaya za umeme zimepita kwenye kiwanja, au ni macho yangu??ENEO LA BIASHARA+ MAKAZI-DODOMA(Ukisikia bahati ndio hii)
MAHALIMichese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa).
-Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)
UMBALIKilomita 9 tu toka katikati ya jiji-Dodoma
UKUBWAsquare metres 1008
FRAME ZA BIASHARAkina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.
HUDUMA ZA KIJAMIImaji,umeme viko jirani.
BARABARANi eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.
KUPIMWA; Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri tu hati.(Tafadhali tazama mchoro kwenye picha)
FURSA ZILIZOPO
Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule.Daladala husimamama hapo kushusha abiria!!Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka
Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara
Biashara kama vile hotel,mavazi,pub/bar,hardware,mbao,tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion,miganga,chidachi) yanakua kwa kasi sana.utaona kwenye picha
Huduma kama vile kituo cha afya,duka la dawa,bar&lodge,migahawa ni chache sana.Hivyo tumia fursa hii mapema!!!Kazi ni kwako
MALIPO
unaweza lipa cash au kwa awamu
MALIPO YA CASH
bei ya eneo lote+frame zake ni milioni 16 Tu
MALIPO YA AWAMU
-milioni 18 (ndani ya miezi minne,yaani milioni 4.5 kila mwezi)
-Milioni 20(ndani ya miezi. sita,yaani takribani milioni 3.3 kila mwezi)
CONTACTS
0767833496(whatsap)
0622111186
Nasemaje; Mwenye macho haambiwi ona na mwenye kuona fursa kama hii hawezi iacha.
Eneo ni mali yangu halali na sio dalaliView attachment 836533View attachment 836535
Hapana mkuu ziko mbaliMsaada mkuu. Hizo nyaya za umeme zimepita kwenye kiwanja, au ni macho yangu??





























































RENT ; 600,000/= @ month


























































































































RENT ; 500,000/= @ month































































Naulizia cha kikombo brother.....Nauza kiwanja changu mwenyewe
MAHALI ;Kiko michese substation-iringa Road(Nyuma ya usalama wa Taifa)
UMBALI ; 7km toka city centre
UKUBWA ; 4032 SQM
KUPIMWA ; Kimeshahakikiwa(reconnaissance),ila kinapakana na mtu ambaye alishapimiwa na kuna bicons za kushea upande mmoja(utaona kwenye picha)
MAJI+UMEME ; Umeme tayari nguzo ninayo kwenye eneo langu.maji yako jirani OTHER DETAILS
1.kina mapagale mawili ndani yake-moja lina vyumba 12 na jingine lina vyumba 02
2.Kuna kisima cha asili ndani yake
3.kuna mikorosho+mihogo+miembe ndani yake
4.Ni eneo zuri sana kwa makazi na unapata nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine kama vile ufugaji,n.k
BEI ; Milioni 18 Tu kwa malipo ya CASH
MALIPO YA AWAMU ;
A. Milioni 21 kwa miezi 3,kila mwezi milioni 7
B.Milioni 24 kwa miezi 6,kila mwezi milioni 4
Pia tunaweza zungumza zaidi,maelewano yapo.
Kwa mawasiliano na picha zaidi tuwasiliane
+255622111186(whatsap)
+255767833496
NB ; Eneo ni langu na sio dalaliView attachment 980886View attachment 980887View attachment 980888View attachment 980889View attachment 980890View attachment 980891View attachment 980892
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi mkuuMkuu hiyo kitu unaita ...karibu na magorofa,sio sahihi,ungesema,...eneo lilopangwa kujengwamakorofa na CDA! NA KWA HUU MPANGO WA MJI WA SERIKALI KUWA. NJIA YA MOROGORO,Hiyo mipango ya Michese inakufa,...nakushauri hiyo sifa iondoe inakuharibia!
Michese ni kuzuri Sana,ilo hiyo sifa sio
Mkuu yani mimi nimenunua kiwanja huko michese pale mbele kidogo ya mwisho wa lami mpya. Kimekwisha hakikiwa ila changamoto naskia tunataka kuhamishwa kule coz wanasema hayo maeneo nu ya CDA hzi taarifa nilipewa ofisi ya za ardhi.Ndio maana kwenye mabano ikaandikwa nyuma ya usalama wa taifa.najihusisha na real Estate na nina Extensive experience na hii sekta,kuna watu hawajawahi fika dodoma kabisa hivyo huwa lazima uwatajie ni barabara ipi kwanza!!hayo mengine sasa yatakuja for more inquiries
Ili kufika michese si lazima upite iringa road ndio uchepuke na barabara ya vumbi inayopita usalama wa taifa au si kweli?
Kuna mgogoro vibaya mno huo mtaa aiseeh sijui shida ni ninNi sahihi mkuu
michese na itega(eneo lililotengwa kwaajili ya maghorofa ambapo tayari kuna maghorofa kadhaa) inatenganishwa na barabara mpya ya lami kama unaifahamu
na viwanja vyangu vinaanzia hapo hapo kwenye lami mpya hivyo vinatazamana na maghorofa
Huku kuna mgogoro sana. Michese, Kinyambwa ni shida sana aisee usinunue kiwanja hukoViwanja vipya sokoniView attachment 1132771View attachment 1132772