Unatafuta kiwanja Dodoma?

Unatafuta kiwanja Dodoma?

Viwanja vipya sokoni
IMG_20190620_172045_683.jpeg
IMG_20190620_172205_674.jpeg
 
MAHALI-Michese

KWA WASIOPAFAHAMU MICHESE
-Michese ni barabara ya iringa
-kufika michese unapita barabara ya vumbi inayokatiza mirembe-kikuyu-usalama wa taifa na kufika michese
-michese inapakana na chidachi

UMBALI TOKA CITY CENTRE

-michese iko umbali wa kilomita 6 toka city centre ambapo ni karibu zaidi kuliko kisasa(7km)

UMBALI WA VIWANJA TOKA BARABARA YA LAMI

-Mita 100(dakika 1 kwa mguu)

KUPIMWA
-viwanja vimepimwa na manispaa yenyewe na vina document(in-voice) na hati inatoka kwa jina lako

MIUNDO MBINU
-Huduma za maji+umeme haziko mbali
-Barabara nzuri na kubwa ya lami inayopitika vizuri

MANDHARI
-Viwanja hivi vinatizamana na itega ambapo watu wanajenga maghorofa matupu.

-viwanja hivi viko karibu kabisa na shule mpya itayojengwa

-Viwanja hivi viko karibu na soko jipya la michese linapojengwa

BEI ZA VIWANJA
-kama zilivyoandikwa kwenye jedwali hapo juu

NB-serekali(kupitia manispaa) wao wanauza sh.8,000/= kwa square metre na hapa tunauza 6,000/= tu kwa square metre

WAHI KWANI VILIKUWA VIWANJA 31 NA SASA VIMEBAKI 19 TU.

-HAKUNA MALIPO YA AWAMU NJOO NA CASH KABISA

ZINGATIA-MWISHO WA OFA HII NI 29/07/2019 SAA 3 USIKU.

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0767833496
0622111186


IMG_20190620_171710_130.JPG
 
MAHALI-Michese

KWA WASIOPAFAHAMU MICHESE
-Michese ni barabara ya iringa
-kufika michese unapita barabara ya vumbi inayokatiza mirembe-kikuyu-usalama wa taifa na kufika michese
-michese inapakana na chidachi

UMBALI TOKA CITY CENTRE

-michese iko umbali wa kilomita 6 toka city centre ambapo ni karibu zaidi kuliko kisasa(7km)

UMBALI WA VIWANJA TOKA BARABARA YA LAMI

-Mita 100(dakika 1 kwa mguu)

KUPIMWA
-viwanja vimepimwa na manispaa yenyewe na vina document(in-voice) na hati inatoka kwa jina lako

MIUNDO MBINU
-Huduma za maji+umeme haziko mbali
-Barabara nzuri na kubwa ya lami inayopitika vizuri

MANDHARI
-Viwanja hivi vinatizamana na itega ambapo watu wanajenga maghorofa matupu.

-viwanja hivi viko karibu kabisa na shule mpya itayojengwa

-Viwanja hivi viko karibu na soko jipya la michese linapojengwa

BEI ZA VIWANJA
-kama zilivyoandikwa kwenye jedwali hapo juu

NB-serekali(kupitia manispaa) wao wanauza sh.8,000/= kwa square metre na hapa tunauza 6,000/= tu kwa square metre

WAHI KWANI VILIKUWA VIWANJA 31 NA SASA VIMEBAKI 19 TU.

-HAKUNA MALIPO YA AWAMU NJOO NA CASH KABISA

ZINGATIA-MWISHO WA OFA HII NI 29/07/2019 SAA 3 USIKU.

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0767833496
0622111186


View attachment 1138695
Huna vya block ZE?
 
KIWANJA KINAUZWA @ NKUHUNGU WEST

MAHALI-Nkuhungu West

UMBALI TOKA CITY CENTRE-7km

UMBALI TOKA MAIN-ROAD-200m

UKUBWA WA KIWANJA-600Sqm,block-P,plot number 19

DOCUMENT-Full document+hakidaiwi
--------------------------------------------------------------------
HUDUMA ZA KIJAMII -maji+umeme vipo hapo hapo
-barabara zote za mitaa zimechongwa

MATUMIZI-Makazi

BEI- 7,000,000/=(ni ofa haina punguzo kabisa na kinahitaji kuuzwa haraka sababu ya shida ya haraka iliyompata mmiliki)

MAWASILIANO
0767833496
0622111186
IMG_20190706_090100_170.jpeg
IMG_20190706_090100_168.jpeg
IMG_20190706_090100_171.jpeg
 
VIWANJA VINAUZWA MTUMBA-KIKOMBO 1,630 KWA SQUARE METRE

MAHALI-kikombo-

Viko block BG-Plot number 736(613 sqm),plot number 763(611 sqm) na plot number 764(610 sqm)

DOCUMENT-In voice kwaajili ya hati.Hati inatoka moja kwa moja wa jina lako

BEI-1,000,000/= (milioni 1 Tu) kwa kila kiwanja

Njoo na cash kabisa

MAWASILIANO
0767833496
0622111186
IMG_20190710_150130_624.jpeg
IMG_20190710_145959_030.jpeg
IMG_20190710_145726_468.jpeg
 
ENEO LA BIASHARA+ MAKAZI-DODOMA(Ukisikia bahati ndio hii)

MAHALIMichese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa).

-Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)

UMBALIKilomita 9 tu toka katikati ya jiji-Dodoma

UKUBWAsquare metres 1008

FRAME ZA BIASHARAkina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.

HUDUMA ZA KIJAMIImaji,umeme viko jirani.

BARABARANi eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.

KUPIMWA; Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri tu hati.(Tafadhali tazama mchoro kwenye picha)

FURSA ZILIZOPO
Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule.Daladala husimamama hapo kushusha abiria!!Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka

Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara

Biashara kama vile hotel,mavazi,pub/bar,hardware,mbao,tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion,miganga,chidachi) yanakua kwa kasi sana.utaona kwenye picha

Huduma kama vile kituo cha afya,duka la dawa,bar&lodge,migahawa ni chache sana.Hivyo tumia fursa hii mapema!!!Kazi ni kwako

MALIPO
unaweza lipa cash au kwa awamu

MALIPO YA CASH
bei ya eneo lote+frame zake ni milioni 16 Tu

MALIPO YA AWAMU
-milioni 18 (ndani ya miezi minne,yaani milioni 4.5 kila mwezi)
-Milioni 20(ndani ya miezi. sita,yaani takribani milioni 3.3 kila mwezi)

CONTACTS
0767833496(whatsap)
0622111186

Nasemaje; Mwenye macho haambiwi ona na mwenye kuona fursa kama hii hawezi iacha.

Eneo ni mali yangu halali na sio dalaliView attachment 836533View attachment 836535
Msaada mkuu. Hizo nyaya za umeme zimepita kwenye kiwanja, au ni macho yangu??
 
APARTMENT FOR RENT ON FIRST STOREY @ MAKULU

LOCATION ; Makulu-udom road

SPECIFICATIONS
#03 Bedrooms,one being self contained
#resplendent kitchen with Pantry
#well designed Living Room
#Public toilet
#store

AMENITIES
-water available 24/7
-Electricity available 24/7
-well secured(Electrically fenced) -Hot water system installed
-Well thought out layouts with balconies
RENT ; 600,000/= @ month

PAYMENT TERMS; 1 month+

BROKER'S PAYMENT-One month fee paid by the Rentor

NB ; SITE VISIT CHARGES-20,000/=

FOR MORE INQUIRIES
+255622111186(Whatsap)
+255767833496(Call)
IMG_20190818_152810_406.jpeg
IMG_20190818_152810_405.jpeg
 
APARTMENT FOR RENT @ NKUHUNGU-NDACHI SOUTH

LOCATION ; Nkuhungu-ndachi south

SPECIFICATIONS
#04 Bedrooms,two being self contained
#resplendent kitchen with Pantry
#well designed Living Room
#Public toilet
#store

AMENITIES
-water available 24/7
-Electricity available 24/7
-well secured(Electrically fenced)
-Well designed Garden
RENT ; 500,000/= @ month

PAYMENT TERMS; 1 month+

BROKER'S PAYMENT-One month fee paid by the Rentor

NB ; SITE VISIT CHARGES-20,000/=

FOR MORE INQUIRIES
+255622111186(Whatsap)
+255767833496(Call)
IMG_20190818_155052_737.jpeg
IMG_20190818_150924_1.jpeg
IMG_20190818_150914_4.jpeg
IMG_20190818_155515_800.jpeg
IMG_20190818_155515_785.jpeg
 
OFA YA VIWANJA KARIBU NA LAMI(Vilikuwa 69 vimebaki 02 tu)
Viwanja viwili vilivyopimwa kwa bei ya ofa

MAHALI ; Nala chinangali

UMBALI TOKA CITY CENTRE MPAKA KWENYE ENEO ; 15km

UMBALI TOKA BARABARA KUU YA LAMI(SINGIDA ROAD) MPAKA KWENYE VIWANJA ; mita 300/dakika 4 kwa mguu

IDADI YA VIWANJA ; Viko viwili

UKUBWA WA KILA KIWANJA ; 601 sqm(ni zaidi ya miguu 30 kwa 20), kingine 517sqm

KUPIMWA : vyote vimepimwa(walipima manispaa wenyewe)

DOCUMENTS : vina in-voice kwaajili ya hati

VITU VILIVYO JIRANI
-shule mpya ya masister wa sathome
-eneo lao(masister)watapojenga hospital
-Tanesco substation
-Ngageya college of business
-Eneo la Nam hotel

MATUMIZI ; makazi na pia unaweza jenga apartment za kupangisha sababu ya taasisi za elimu zilizopo lazima wafanyakazi watahitaji kupanga

BEI YA KILA KIWANJA ;- Milioni 2.1 Tu
NB ; nakuibia siri,ukiona sehemu watu wa kanisa katoliki wapo jua hayo ni maeneo potential sana(i stand to be corrected)

MAWASILIANO
0767833496
0622111186

Follow me on istagram kwa jina dalali goodneighbour dodoma

THANK ME LATER
Screenshot_20190912-203058.jpeg
Screenshot_20190912-203104.jpeg
Screenshot_20190912-203111.jpeg
 
KWANINI UNUNUE KIWANJA MICHESE?

Kwa wasiofahamu

MICHESE-iko barabara ya Iringa karibu na hospital ya mirembe na ni karibu na majengo ya usalama wa taifa.

KUPAKANA-michese inapakana na kikuyu,chidachi,kinyambwa extension na itega

UMBALI TOKA CITY CENTRE-kilomita 5.5 tu,mwendo wa dakika 7 toka mjini.anayekaa michese ni sawa na mtu anayeishi kisasa au nkuhungu

MADHARI-kwa karibu zaidi inapakana na ITEGA(ambapo palitengwa na CDA kipindi hicho watu wanajenga maghorofa) hivyo mtu anayekaa michese ni sawa na mtu anayekaa karibu na msasani,masaki ama oysterbay kwa dar
----------------------------------------------------------------------
MIUNDO MBINU
-Barabara nzuri zinazopitika vizuri muda wote,iwe kiangazi au masika -Huduma muhimu kama maji+umeme ziko karibu.

KUPIMWA
-kumepimwa na manispaa wenyewe,ambapo mwezi May 2018 ilitengwa 5.8Billions kwaajili ya kupima iyumbu,nala,mtumba,michese,ihumwa,mahomanyika,kikombo na nzuguni

NB-serekali kupitia manispaa iliuza viwanja sehemu zote walizopima na kuacha michese kuwa project ya mwisho kuuza sababu ya ukaribu zaidi na mjini kuliko sehemu zingine zote walizopima

DOCUMENT
-viwanja vina in-voice ambao ni mfumo mpya wa document baada yakufutwa kitu kinaitwa offer Letter ili kupunguza matatizo ya viwanja kama watu wawili kumiliki kiwanja kimoja,n.k -in voice ni document inayokusaidia kupata hati( clean title deed) kwa urahisi

UKUBWA WA VIWANJA
-viwanja ni vikubwa na vizuri kuanzia 450 square metres(zaidi ya miguu 15 upana kwa miguu 30 urefu)

BEI ZA VIWANJA VYA MAKAZI
-Manispaa wanauza kwa 8,000/= kwa square metre moja -nilivyonavyo nauza 6,000/= kwa square metre moja

ARDHI NI TAMBARARE NA VIWANJA VIKO KARIBU NA LAMI

#Vilikuwa viwanja 39,vimebaki 10 tu.kamatia fursa sasa kabla havijaisha

KWA MAWASILIANO ZAIDI

0767833496(Call+whatsap)
IMG_20191007_075804_584.jpeg
 
Mkuu hiyo kitu unaita ...karibu na magorofa,sio sahihi,ungesema,...eneo lilopangwa kujengwamakorofa na CDA! NA KWA HUU MPANGO WA MJI WA SERIKALI KUWA. NJIA YA MOROGORO,Hiyo mipango ya Michese inakufa,...nakushauri hiyo sifa iondoe inakuharibia!
Michese ni kuzuri Sana,ilo hiyo sifa sio
 
Nauza kiwanja changu mwenyewe

MAHALI ;Kiko michese substation-iringa Road(Nyuma ya usalama wa Taifa)

UMBALI ; 7km toka city centre

UKUBWA ; 4032 SQM

KUPIMWA ; Kimeshahakikiwa(reconnaissance),ila kinapakana na mtu ambaye alishapimiwa na kuna bicons za kushea upande mmoja(utaona kwenye picha)

MAJI+UMEME ; Umeme tayari nguzo ninayo kwenye eneo langu.maji yako jirani OTHER DETAILS
1.kina mapagale mawili ndani yake-moja lina vyumba 12 na jingine lina vyumba 02
2.Kuna kisima cha asili ndani yake
3.kuna mikorosho+mihogo+miembe ndani yake
4.Ni eneo zuri sana kwa makazi na unapata nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine kama vile ufugaji,n.k

BEI ; Milioni 18 Tu kwa malipo ya CASH
MALIPO YA AWAMU ;

A. Milioni 21 kwa miezi 3,kila mwezi milioni 7
B.Milioni 24 kwa miezi 6,kila mwezi milioni 4

Pia tunaweza zungumza zaidi,maelewano yapo.
Kwa mawasiliano na picha zaidi tuwasiliane
+255622111186(whatsap)
+255767833496

NB ; Eneo ni langu na sio dalaliView attachment 980886View attachment 980887View attachment 980888View attachment 980889View attachment 980890View attachment 980891View attachment 980892

Sent using Jamii Forums mobile app
Naulizia cha kikombo brother.....
 
Mkuu hiyo kitu unaita ...karibu na magorofa,sio sahihi,ungesema,...eneo lilopangwa kujengwamakorofa na CDA! NA KWA HUU MPANGO WA MJI WA SERIKALI KUWA. NJIA YA MOROGORO,Hiyo mipango ya Michese inakufa,...nakushauri hiyo sifa iondoe inakuharibia!
Michese ni kuzuri Sana,ilo hiyo sifa sio
Ni sahihi mkuu
michese na itega(eneo lililotengwa kwaajili ya maghorofa ambapo tayari kuna maghorofa kadhaa) inatenganishwa na barabara mpya ya lami kama unaifahamu

na viwanja vyangu vinaanzia hapo hapo kwenye lami mpya hivyo vinatazamana na maghorofa
 
Ndio maana kwenye mabano ikaandikwa nyuma ya usalama wa taifa.najihusisha na real Estate na nina Extensive experience na hii sekta,kuna watu hawajawahi fika dodoma kabisa hivyo huwa lazima uwatajie ni barabara ipi kwanza!!hayo mengine sasa yatakuja for more inquiries
Ili kufika michese si lazima upite iringa road ndio uchepuke na barabara ya vumbi inayopita usalama wa taifa au si kweli?
Mkuu yani mimi nimenunua kiwanja huko michese pale mbele kidogo ya mwisho wa lami mpya. Kimekwisha hakikiwa ila changamoto naskia tunataka kuhamishwa kule coz wanasema hayo maeneo nu ya CDA hzi taarifa nilipewa ofisi ya za ardhi.
 
Ni sahihi mkuu
michese na itega(eneo lililotengwa kwaajili ya maghorofa ambapo tayari kuna maghorofa kadhaa) inatenganishwa na barabara mpya ya lami kama unaifahamu

na viwanja vyangu vinaanzia hapo hapo kwenye lami mpya hivyo vinatazamana na maghorofa
Kuna mgogoro vibaya mno huo mtaa aiseeh sijui shida ni nin
 
Back
Top Bottom