Unatafuta kiwanja Dodoma?

Unatafuta kiwanja Dodoma?

MAHALI ; Michese-Iringa road(nyuma ya usalama wa taifa)

UMBALI ; 5.5KM toka city centre

UKUBWA ; Square metres 3619,ambapo vinategemea kutoka viwanja vitatu kwa kufuata master plan baada ya kupimwa

KUPIMWA : Tayari kumeshapimwa

MIUNDO-MBINU; Maji+umeme haviko mbali,barabara imeanza kukarabatiwa kuwa ya lami

SIFA ZA ZIADA
1.Eneo liko sehemu nzuri sana njoo uende site ukajionee
2.unaweza chukua ukaja kuviuza baada ya barabara za mitaa kuchongwa na kujiongezea kipato
3.kwa wale wanaopenda kukaa kwenye eneo kubwa(low density area) hapa patakufaa sana
4.ni karibu sana na mjini na bei ni nafuu sana
5.pako jirani na sehemu iliyojengeka vizuri(chidachi)

NB ; Hii ni ofa ambayo mwisho wake ni 11/11/2018

ENEI HALINA TATIZO WALA MGOGORO WA AINA YOYOTE ILE,RUKSA KWENDA MANISPAA KUHAKIKI.
0767833496
0622111186
IMG_20180711_091708_595.JPG
 
Karibia na Usalama wa Taifa?! Umewajuaje na wakati huwa hawajitangazi??!! Subiri waje, Hiyo ofisi yao ina bango lolote kuonyesha ni ofisi ya watu......,
 
Karibia na Usalama wa Taifa?! Umewajuaje na wakati huwa hawajitangazi??!! Subiri waje, Hiyo ofisi yao ina bango lolote kuonyesha ni ofisi ya watu......,
Ofisi zao ziko hapo na kuna majengo mengi sana yenye bati ya kijani,na wana eneo kubwa sana.Tafadhali uliza watu wanaopafahamu dodoma vizuri zaidi kwaajili ya kujiridhisha kabla hujaanza kupiga kelele
"Ujuaji mwingi mbele kiza"
 
Unazungumuziaje hili tangazoView attachment 921389
Liko vizuri sana
Kwani waliopima ni wao wenyewe katika bajeti ya 5.5B TZS ambapo walitenga maeneo ya mtumba,iyumbu,michese na nala.Mtumba+iyumbu ikiwa ni miradi yao(manispaa) na michese+nala miradi ya watu binafsi/wakazi

Hata maelezo yangu yanasema mteja unaruhusiwa kwenda manispaa kuhakiki kabla ya kununua.na huo ndio utaratibu mzuri!!!
Pia hapo sio mtumba wala ihumwa,nadhani tangazo lili-base zaidi kwa sehemu izo!!!!
 
Karibia na Usalama wa Taifa?! Umewajuaje na wakati huwa hawajitangazi??!! Subiri waje, Hiyo ofisi yao ina bango lolote kuonyesha ni ofisi ya watu......,
Mzee kama wewe ni mkazi wa dodoma ni rahisi kulifahamu eneo hilo kama vile mtu kuifaham kariakoo
 
Kwa nini bei unayouza haiendani na uhalisia maana nimeshauliza viwanja vingi naambiwa bei za juu zaidi na size ni ndogo zaidi ya iyo yako. Tafadhali..nami ni muhitaji
Ni eneo salama,bei iliyotangazwa ni ofa na inatokana na shida ya haraka.Ukisoma vizuri utaona mwishoni nimeruhusu
"Unaweza kwenda manispaa kuhakiki kabla ya kununua"
Ofa hiyo inaisha leo kwani baada ya leo muuzaji atakuwa tayari nje ya muda wa marejesho ya deni lake la kifedha.Asante
 
Ni kweli mkuu. Hiyo bei na ukubwa wa eneo pamoja na location.... Haviendani.
Inatia Mashaka kidogo.
Hayo mashaka ndio uje uyamalize kabla hujanunua.Kuanzia kwenda manispaa kuhakiki mpaka serekali husika ya mtaa
Ofa hii inakwisha leo,imetokana na uhitaji wa haraka wa pesa kutokana na madeni yanayomkabili muuzaji.
Asante
 
INDUSTRIAL AREA FOR SALE IN DODOMA

LOCATION ; NALA-NKUHUNGU BROAD ACRE(SINGIDA ROAD)
It is found near the two petrol stations that are situated opposite to each other(lake oil and Gp 88 petrol stations).

DISTANCE ; 12 KM FROM CITY CENTRE

SIZE OF THE PLOT ; 12300 SQUARE METRES

HAS CLEAN TITLE DEED.DETAILS OF THE PLOT
-BLOCK A,PLOT NUMBER 63

PRICE ; 95 millions TZS(negotiable)-PAY IN CASH OR INSTALLMENTS(03 MONTHS TERM)

OTHER DETAILS
-IT IS THE SECOND PLOT FROM THE MAIN-ROAD
- GOOD FOR GARAGE/GODOWN(WAREHOUSE) AND ANY OTHER INDUSTRY.
+255622111186
+255767833496
IMG_20180312_094218_9.jpeg
IMG_20180312_093107_5.jpeg
IMG_20180213_123233_4.jpeg
IMG_20180213_123319_3.jpeg
 
Back
Top Bottom