Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Duh jamaa kabadilika sana, alikuwa mfuga rasta lakini now kabadilika kama sio yeye vile.Ndiyo yeye mkuu...
Duh jamaa kabadilika sana, alikuwa mfuga rasta lakini now kabadilika kama sio yeye vile.Ndiyo yeye mkuu...
Ninachompedea jamaa ni kwamba anajua.Duh jamaa kabadilika sana, alikuwa mfuga rasta lakini now kabadilika kama sio yeye vile.
vpn gani unatumia bro?Tumia vpn, inakubali
jamaa ana track yake moja inaitwa noma mwanangu aisee si mchezoNinachompedea jamaa ni kwamba anajua.
ExpressVPN uwa iko poaaa sanavpn gani unatumia bro?
ExpressVPN uwa iko poaaa sana
Naipata sana, hebu mcheki na huyu "NASH MC" anaradha ya kipekee pia.jamaa ana track yake moja inaitwa noma mwanangu aisee si mchezo