Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 682
- 1,375
Humu anaskika bwa mdogo anatembea namna hii;
Huyo mtoto kaniona kati nimependeza
Kaona dorime, hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia, akijitusu natembeza.....
Hii sijui ni verse au chorus hata sijui, ila jamaa amekaa vizuri mno hapo ni msauti wake sijui ndo mineli imekolea pale ama vipi. Ila kitu kikali mno. Huyu jaivah ni msouth au nini??? Anajitafuta mnooo huyu jamaaa, safiiii.
Marioo na huyu jamaa wana 'bond' flani hivi migoma yao inakimbiza sana kwa burudani aloo...heko sana nyie wapambanaji.
Mziki umewaka sasa
marioo anatiririka nae;
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache, kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache, kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)
Limenibana kojo kojo kojooo
(Kojo, kojo, kojoo)....huu mdundo sasa na huyu bwamdogo anavojua kuyaumiza haya mapianooooo
Kila kitu buruudaaaa
Aweeeee
Huyo mtoto kaniona kati nimependeza
Kaona dorime, hiyo mitungi juu ya meza
Ananiangalia huku macho analegeza
Nami nampimia, akijitusu natembeza.....
Hii sijui ni verse au chorus hata sijui, ila jamaa amekaa vizuri mno hapo ni msauti wake sijui ndo mineli imekolea pale ama vipi. Ila kitu kikali mno. Huyu jaivah ni msouth au nini??? Anajitafuta mnooo huyu jamaaa, safiiii.
Marioo na huyu jamaa wana 'bond' flani hivi migoma yao inakimbiza sana kwa burudani aloo...heko sana nyie wapambanaji.
Mziki umewaka sasa
marioo anatiririka nae;
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache, kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)
Nauliza niendelee..niache
(Kwanini uache, kama umelianzisha
Twende mpaka asubuhi)
Limenibana kojo kojo kojooo
(Kojo, kojo, kojoo)....huu mdundo sasa na huyu bwamdogo anavojua kuyaumiza haya mapianooooo
Kila kitu buruudaaaa
Aweeeee