PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Mkuu Mwanajamvi...
Nimeona mara nyingi wanaume wakikaa pamoja utawasikia...Yule si anashauriwa na mkewe?..Ndo maana yuko kama amechanganyikiwa muda wote!
Ina maana wanawake wana ushauri mbaya sana?
Ni ushauri upi tuupokee na upi tuukatae toka kwa hawa raia?
Nimeona mara nyingi wanaume wakikaa pamoja utawasikia...Yule si anashauriwa na mkewe?..Ndo maana yuko kama amechanganyikiwa muda wote!
Ina maana wanawake wana ushauri mbaya sana?
Ni ushauri upi tuupokee na upi tuukatae toka kwa hawa raia?