Unapotaka kuoa, usidharau kigezo hiki

Unapotaka kuoa, usidharau kigezo hiki

haswaaaaaaaaa mkuu haujakosea..... am proud myself kwa chaguo langu
 
Consider this letters for a good wife.
A. Appearance
B.Body structure.
C.Character.
D.Discipline.
E.Education. and
F.Fashion

umesomeka kwa upande wa wanaume je
 
Siku izi dunia imebadilika.... nyinyi wanaume uwa mnaangalia kama ukioa huyo dada atakusaidia nini kwenye maisha yako (contribution). Sura na mashepu hakuna siku izi.... kinachotazamwa ni akili.... mtoa mada, waliobaki bila ndoa sio madungayembe etiiii... hiki sio kipindi cha ujamaa, life inabana mpaka penalty.
 
Anaweza akawa mzuri lkn huna mapenzi ya dhati naye uzur siyo issue balu ni pendo la dhati kwaje na kwako
Mapenzi ya dhati unayafahamu?
Unawezaje kupata mapenzi ya dhati?
Utajuaje kuwa ni ya dhati?
Narudia kusema Mimi naangalia kile ninachokiona na kupata.
 
Kwanini utafute tabia tu au uzuri tu wakati wenye uzuri na tabia njema wapo? Weka checklist zako zifanyie kazi utampata
 
Hapo kwenye E::: fafanua kidogo mkuu. Awe na phd, std 3 ama hakufanya mtihani wa kumaliza f 4 kwa kuwa alolipata mimba?

A. Appearance
B.Body structure.
C.Character.k
D.Discipline.
E.Education. and
F.Fashion[/QUOTE]
 
Tuseme ukweli GPA nzuri nyingi zina pikwa na ndio maana tz usishangae kumuona mtu ana first class ila mwenye pass lower second anapiga mzigo kuliko first class.kwakweli uhalisia wa elimu ni mdogo sana wengi wananunua elimu hakuna siri
 
Back
Top Bottom