Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
Hapa ndipo OKW BOBAN SUNZU anapodhalilika.
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu

Kiongozi, salama?
 
Sasa katika Siasa ni 99% unafiki,Ukitaka kuingia katika Siasa lazima somo la unafiki ufuzu vilivyo lasivyo utabaki unalalama tu.

Wakati mwingine huwa na waona wanasiasa WaTanzania kama viumbe wa Ajabu kwelikweli.

Ebana kiongozi ni kweli kabisa usipokuwa mnafiki kwenye siasa wewe bado hujawa mwanasiasa popote pale Sikh zote siasa huwa zinaenda na upepo.

Hizi ni kauli za Obama alizowahi kuzitoa nyakati mbili toafuti kuhusu Hillary.

"Hillary will say anything to get elected and do nothing, she cannot be trusted so that she is not qualified to be the president of united states"-2008


"there has never been a man or a woman more qualified than Hillary Clinton to serve as President of the United States of America"-2016

Hapo sio kwamba alikuwa hakumbuki bali ni makusudi Tu kulingana na upepo umekaaje wakati anatoa maneno hayo.
 
Back
Top Bottom