Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Ebana kiongozi ni kweli kabisa usipokuwa mnafiki kwenye siasa wewe bado hujawa mwanasiasa popote pale Sikh zote siasa huwa zinaenda na upepo.

Hizi ni kauli za Obama alizowahi kuzitoa nyakati mbili toafuti kuhusu Hillary.

"Hillary will say anything to get elected and do nothing, she cannot be trusted so that she is not qualified to be the president of united states"-2008


"there has never been a man or a woman more qualified than Hillary Clinton to serve as President of the United States of America"-2016

Hapo sio kwamba alikuwa hakumbuki bali ni makusudi Tu kulingana na upepo umekaaje wakati anatoa maneno hayo.
Mkuu, mimi naona bora Obama alichukua muda mrefu kugeuza kibao, 2008 hadi 2016 ni miaka 8.
Lakini mwenzetu ilimchukua miezi 3 tu kuanza kula matapishi yake, manake uzi huu ni wa tarehe 26 Mei 2015. Hebu sasa pitia nyuzi na post zake kuanzia Agosti 2015.
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu

Bado msimamo wenu ni huo huo?
 
Mkuu, mimi naona bora Obama alichukua muda mrefu kugeuza kibao, 2008 hadi 2016 ni miaka 8.
Lakini mwenzetu ilimchukua miezi 3 tu kuanza kula matapishi yake, manake uzi huu ni wa tarehe 26 Mei 2015. Hebu sasa pitia nyuzi na post zake kuanzia Agosti 2015.

Watakwambia kama alikuwa fisadi kwa nini hajapelekwa mahamani mpaka leo. Wanajisahaulisha kuwa ni wao ndio waliomwita fisadi na kuwa ushahidi walikuwa nao
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
hahahahahahahahahaha, JF kwa kutunza mafaili mko juu!!! tehe tehe
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
Wewe ni wa ajabu sana Rostam Karamagi na Chenge Siyo watu wenu nyie?
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu


Wewe jamaa ni pussy!
 
Mkuu, mimi naona bora Obama alichukua muda mrefu kugeuza kibao, 2008 hadi 2016 ni miaka 8.
Lakini mwenzetu ilimchukua miezi 3 tu kuanza kula matapishi yake, manake uzi huu ni wa tarehe 26 Mei 2015. Hebu sasa pitia nyuzi na post zake kuanzia Agosti 2015.

Hahaha...nimeona mkuu, ni shidaa utasema labda aliuza account yake baada ya tareh 26 may
 
Binafsi ni CDM addict ila kwa lowasa no......mbowe ndio Ali simama kidete kusema lowasa fisadi......alafu Leo tunasema msafi kumbe 2020 akija magufuli cdm mtampokea na maneno tunayo sema raisi wa ajabu......SHIKAMOO PESA [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wewe ni wa ajabu sana Rostam Karamagi na Chenge Siyo watu wenu nyie?
Lowasa ndio muasisi wa ufisadi, rushwa na makundi katika siasa za tanzania. Wote wanaojaribu kumsafisha ni kwa unafiki na masilahi yao binafisi. Napenda kuwasihi watanzania wenzangu siasa haitatusaidia kwa mtindo huu
 
Back
Top Bottom