mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,066
- 6,760
Nyumbu hao wapo katika ubora wao wa unafiki .
Nimeisoma muda huu tu. Yaani vijana wa chadema ni Mungu tu ndiyo anayeweza kuwaelewaukipata muda pitia tena post yake yake hii hapa: CHADEMA Okoa Tanzania Dhidi ya Janga Lowassa Richmond
Wakihamia chadema nao pia watasafishwamsafi asafishwe. wachafu wabaki na uchafu wao. just saying
Kuna wengine wanaitwa BAK na Salary Slip na The Boss...wanafiki hujawahi ona dunia hii
OKW BOBAN SUNZU ni moja ya "great thinkers" wa jf, think tank ya forum yetu.[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwa aina hii ya political analysts, hakuna mtu hapa.
Ha ha ha....maneno yao yaliwakaba kooni.Kuna vijana walikuwa wanajenga hoja za maana sana kwenye kipindi cha malumbano ya hoja kika alhamisi pale ITV!
Lakini baada ya Mbowe kubadili gia angani sijui kiliwapata nini wale vijana hadi leo hawaendi tena kwenye kile kipindi.
msafi asafishwe. wachafu wabaki na uchafu wao. just saying