Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Unapomsafisha Lowassa wasafishe na hawa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,315
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
 
Mkuu hizi nyimbo tumezizoea na zinaanza kutobore. Katika hali ilivyo UOZO NI KWA WOTE. Hatutaki kusikia mala mhs Lowasa sijui nani, hiyo group nzima iko ktk TUHUMA HII YAUFISADI. Una nielewa nina maana gani ninaposema GROUP nzima!
 
msafi asafishwe. wachafu wabaki na uchafu wao. just saying
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
onyesha uhusiano wao mpaka udai wasafishwe wote kwa pamoja sio kuropoka tu
 
attachment.php
 
Rostam Aziz ndiye Meneja wa Kampeni wa Lowassa, na Karamagi ni mpambe wake mwandamizi. Jana alipokuwa anazungumza na wahariri, Lowassa alikuwa na Karamagi, na alimwita Karamagi kuwa ni "role model", yaani mfano wa kuigwa! TUTAFAKARI!!!!!!!!
 
onyesha uhusiano wao mpaka udai wasafishwe wote kwa pamoja sio kuropoka tu
ibia hapa
Rostam Aziz ndiye Meneja wa Kampeni wa Lowassa, na Karamagi ni mpambe wake mwandamizi. Jana alipokuwa anazungumza na wahariri, Lowassa alikuwa na Karamagi, na alimwita Karamagi kuwa ni "role model", yaani mfano wa kuigwa! TUTAFAKARI!!!!!!!!
 
Nyimbo ya ufisadi imechuja tafuteni singo nyingine. Matumaini mapya na Jemedari EL kama hutaki hama nchi.
 
Mpaka sasa sina tumaini la ukombozi katika umasikini naona miaka 10 tena ya mateso 2015-2025..Eh Mwenyezi Mungu tusaidie
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
Na kuthibitisha jana alisema anataka awe na watanzania wa aina ya Karamagi (wengine waliwekwa kama kimkakati tu) 20,000 tusiombe nje! Utajiri wa wizi na ulaghai utapeleka taifa letu kuzimu.
 
safisha kwanza ule uchafu wa tengeru kabla ya kuja kuhara humu
 
Na kuthibitisha jana alisema anataka awe na watanzania wa aina ya Karamagi (wengine waliwekwa kama kimkakati tu) 20,000 tusiombe nje! Utajiri wa wizi na ulaghai utapeleka taifa letu kuzimu.

acha taifa letu liende kuzimu mbona wewe umekimbia kwenu??
 
Nyimbo ya ufisadi imechuja tafuteni singo nyingine. Matumaini mapya na Jemedari EL kama hutaki hama nchi.

Sina tusi unalositahili. Nikisema ukweli kuhusu wewe ntafungiwa. Sasa hivi Tatizo kubwa hapa Tanzania ni Ufisadi. Huu wimbo hauwezi kuchuja kwa watu wenye kujitambua.
 
Hivi mnasahau kuwa kumsema sana mtu ni kumpa umaarufu? km ndivyo, sasa hamuoni kuwa mnampa huyo Lowasa umaarufu kwa kumtaja taja sn kila jua linapochomoza na kila linapokuchwa?
 
Back
Top Bottom