Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Ukute mwanaume mwenzio..lower ur expectations in social networks relations
 
Wakuu wa MMU shwari!

Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana.

Kuna mrembo humu nimechati nae PM, tukakubaliana anipatie namba ya simu, akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta. Ni wiki sasa kimya.

Jamani mbona hivo, nimekuwekea namba ya vocha kimya.

huyo atakuwa anakufahamu....alivyoipiga tu ikatoa jina BUZI2.
 
Sasa na ww umekosea. Inawezekana akaona uko kijijini ndo maana hujapata moja au mbili za buku 5. Au ndo anasabuskraibu bundle mpaka ziishe atakutafuta. Kua mpole na usihonge ovyo. Yapo mengi ya kufanya na hela. Ka huamini tafuta rafiki yako mwenye upeo wa kibiashara uone kama hatujakusoma times na kwenye chati za matajiri. Nawasilisha.
 
pole but mambo mengi mazuri yanaitaji uvumilivu.
Kuwa mvumilivu na pia usioneshe kuwa umeuzunika mana anaweza kuthania kuwa ni wale wale kula kusepa...
 
Ukute mwanaume mwenzio..lower ur expectations in social networks relations

hapo kwenye nyekundo ndo utata unapoanzia kwenye hii mitandao....hahaha..bt mwanaume wa kweli hawezi ombwa namba na vocha then akachukua kiulaini may be...
 
Hahaha nimecheka sana..na vocha juu. Nina miaka mitatu sijakwangua vocha

Ungemwambia una salio la Tigo Pesa au M-Pesa akupe umnunulie.
 
Hahaha nimecheka sana..na vocha juu. Nina miaka mitatu sijakwangua vocha

Ungemwambia una salio la Tigo Pesa au M-Pesa akupe umnunulie.

mkuu nilimpa namba akawa kimya.nikamuuliza vipi sweet,akanijibu jana sikuwa na salio ck nzima,ndo ikabidi nijiongeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom