Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,391
Reaction score
139,335
Wakuu wa MMU shwari!

Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana.

Kuna mrembo humu nimechati nae PM, tukakubaliana anipatie namba ya simu, akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta. Ni wiki sasa kimya.

Jamani mbona hivo, nimekuwekea namba ya vocha kimya.
 
Kwani tangu umpatie hiyo no. Umeshawahi kumuona online??, usijekuwa unalalamika hujui mwenzio kapatwa na nini
 
hahahaha pole mkuu inamaana ulimpa na vocha kuwa na subira atakutafuta week tu unalalamika ?????
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.

Ukituma namba tuma na vocha
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.
kijana umeharibu bana!

ungeendelea kumchombeza kwa PM kwa maneno yenye nakshi zenye romance, angepiga tu mwenyewe!!

sometimes, we should not hurry in new love...!! palilia penzi lako, mvua ndo zishaanza kunyesha!!!!
 
Siku hizi mmeshtuka, hatanukimpatia mtu namba ANAI BEEP HAPOHAPO justn in case. Kama ulitoa kitu FEKEROOO ndo utaumbuka hapo.
 
Tatizo lako umemtumia vocha ya 500.. Jiongeze mkuu.
 
hahaa....nice try,, galasa hilo.. move on
 
Kwa nn hakukupa namba yake akahitaji ya kwako? Huyo hataki mawasiliano na ww na hawezi kukutafuta alipokea 2 ili uache usumbufu. Kama vp baki njia kuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom