Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Unapompatia namba unayempenda, asikupigie

Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.
BOBAN Sunzu isije ikawa umemtumia vocha mwanaume
 
Last edited by a moderator:
Bado unamuona akitoa michango humu jf?

Kama bado unamuona angalia ustaarabu mwingine.
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.
Pole sana mkuu, wajinga ndiyo waliwao. Hiyo vocha yako imetumika kumpigia yule aliye moyoni mwake, wewe endelea kusubiri tu!
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.
Mzee mbona mambo ya aibu haya ukileta hpa ss unataka atokee au unatakaje?maana it was btwn u too now u expose unadhani atakutafuta kweli??:thinking:
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.

mwambie akurudishie namba yako
 
Bado unamuona akitoa michango humu jf?

Kama bado unamuona angalia ustaarabu mwingine.

amechangia uzi huu ananipita kwny uzi kama hanijui.na alivochangia,ni kama hajui kitu kabisa.wakati juzi tu nimemuwekea vocha 5 za elf mbili mbili.imezidi kuniuma zaidi bora asingechangia
 
amechangia uzi huu ananipita kwny uzi kama hanijui.na alivochangia,ni kama hajui kitu kabisa.wakati juzi tu nimemuwekea vocha 5 za elf mbili mbili.imezidi kuniuma zaidi bora asingechangia

Pole mkuu ni sehemu ya maisha tu.
 
Wakuu wa MMU shwari!Kuna mambo mengine ni madogo lakini yanaumiza sana tena sana,kuna mrembo humu nimechati nae PM,tukakubaliana anipatie namba ya simu,akanisihi nimpatie yangu yeye ndo atanitafuta.Ni wiki sasa kimya.Jamani mbona hivo,nimekuwekea namba ya vocha kimya.
Mkuu pole sana, usijaribu tena huo mchezo jf..hakuna security huku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom