Ally_34
Member
- Jun 1, 2020
- 9
- 7
Utamjua tu Ana uwezo wa kuona post utakayopost kesho statusUtajuaje Kama mtu ana WhatsApp GB pasipo kushika simu yake?
Utamjua tu Ana uwezo wa kuona post utakayopost kesho statusUtajuaje Kama mtu ana WhatsApp GB pasipo kushika simu yake?
Duh ukapigwa za kutosha 🙆Wee mama wa mtu!!
Ile pic ilivyonifikia na umbea wangu nikamsimulia baby wangu, akasema ebu tuone!! 😂😂😂
Nikamkatalia akaforce akachukua simu akaliangalia!! We nikakuta mtu kabadilika akaninyanyua nyaku km kifaranga cha kuku 🤣🤣🤣🤣
Akaenda kunifanya asusa, nikasema kweli bi mkubwa kabarikiwa had baby kadisaaa!!!
Duuuh! yaani hata kama sijapost yeye awe ameshajua au sijakuelewa vema,ndugu?Utamjua tu Ana uwezo wa kuona post utakayopost kesho status
hongera 🥰Hilo nililijua niliona hata upelekaji moto wake ni km analivutia hisia lile tumbua la kwenye simu la yule bi mkubwa 🤣🤣🤣🤣
Lile dude situmi inaweza kuwa ni shangazi yako, huoni km ni udhalilishaji?
Niliitumia na sijaona cha ziada. Au nilikosea?Gb whatsap ni noma na nusu wale jamaa sio poa na ukianza kuitumia kamwe hautarudi whatsap ya kawaida utaiona michosho tu. Ni kama ukizoea kula pilipili afu upewe chakula hakina pilipili
Sikulazimishi bruh!!!Si kweli mim huwa nadelay had inagoma kabisa ndio naaupdate
Kwahiyo alichobarikiwa ni shanga au kitumbua?Bi mkubwa kabarikiwa kwa kweli had wanaume wakawa wanatusimanga mabinti wadogo!!
Eti mama katuzidi anaenda na wakati zile shanga mupya 😂😂😂😂
Hii GB whatsapp haimilikiwi na kampuni ya MetaSikulazimishi bruh!!!
Wengi waliokuwa banned na w'app walisema tatizo lilikuwa hilo,kuchelewa ku-update kwa wakati,lakini nakosa logical kwanini usubiri hadi ikatae kabisa na bado uone ni kitu kizuri hata wenzio wakiige?
Wengi munao post memes psychological munajistukia kuonekana mujakua na wengi wanajifosi just kashakua mtu wa kuposti memes ajitajidi ku keep kupostiWewe uko Kama mm yani na post memes tu tabu inakujaga kwa boss zangu wanapo kuja nikuta nipo sura mbuzi nikiwa kwenye majukumu yangu mpk wananiulizaga
Hivi inawezekanaje kitu Kama GB WhatsApp mtu usikie Leo not serious naamini hata Kama hautawai kuitumia ila kwa mtu wa mtandao kweli hata kusoma JF mada randomly tu kwanjia moja au nyengine lazima uwe umewahi kuona imenadikwa sehwmu am ConfusedGb watsupndo nasikia leo kweli mm nimepitwa na wakati
udugu unayaweza weyeeeeh.Mimi nikigundua una WhatsApp Gb nakublock au nafuta namba zako!!
Kuna mmama alipiga pic ya utupu kwa camera ya mbele na sura lake linaonekana pamoja na mpodido, akataka kumtumia mchepuko akashangaa kalituma tumbua status
Watu wakasave, akaja kupigiwa simu na mtoto wake wa kike afute baada ya mume wa mtoto wake kuliona!!!
Sema japo mamá age go ila katuzidi had mabinti afu alivaa shanga toleo jipya hahaaaaa!!
Wee mama wa mtu!!
Ile pic ilivyonifikia na umbea wangu nikamsimulia baby wangu, akasema ebu tuone!!
Nikamkatalia akaforce akachukua simu akaliangalia!! We nikakuta mtu kabadilika akaninyanyua nyaku km kifaranga cha kuku
Akaenda kunifanya asusa, nikasema kweli bi mkubwa kabarikiwa had baby kadisaaa!!!
Ni mimbea mbea we iwekee kitu chochote cha uongo afu futa uone itakavyoanza kujifaragua “Hata km umefuta tyr tumeona”
Yenyewe haiwezi kutunza siri
naifaham ila cjajua ina tofauti na whatap app zngine, kusema cjui mtu anaweza kusoma text zako ukiwa una type kabla ya kutuma ndo wamenichanganya kabisaHivi inawezekanaje kitu Kama GB WhatsApp mtu usikie Leo not serious naamini hata Kama hautawai kuitumia ila kwa mtu wa mtandao kweli hata kusoma JF mada randomly tu kwanjia moja au nyengine lazima uwe umewahi kuona imenadikwa sehwmu am Confused
🤣🤣🤣🤣Hivi kumbe hata wanawake mkiona sehemu za siri za ke wenzenu huwa mnatamani?
Mfyuuu!!! 😂😂😂😂Duh ukapigwa za kutosha 🙆
Siendi mie. Naenda kufanya nini huko? Duniani kwenyewe nimeshindikana,huko ndo naenda kuweka jam! Na kuyakela mapepo. Nataka hapa hapa. Tena we mwanamke naona unataka matatizo weweAcha dhambi ufike mbinguni 😂😂😂