Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 2,551
- 6,280
Ahaa,,Naachaje kwa mfano 🤣🤣🤣
Mama kazeeka ila tumbua ndo anamiliki jamani kha!!
Ahaa,,Naachaje kwa mfano 🤣🤣🤣
Mama kazeeka ila tumbua ndo anamiliki jamani kha!!
🤣🤣🤣🤣 Sio vizuri ila we jua kwa bi mkubwa yaliyomo yamoTuone mkuu hiyo shanga toleo jipya 🤔🤔🤔
Mno 😂😂😂Inaonyesha bimkubwa ana mambo mazuri sana
😂😂😂Mno 😂😂😂
Ile nahisi yule mkwe wake ( mume wa mwanae) kabla hajampigia simu mkewe kumueleza aangalie status ya mama yake kwanza aliji dronedrake 🤣🤣🤣🤣
Wewe uko Kama mm yani na post memes tu tabu inakujaga kwa boss zangu wanapo kuja nikuta nipo sura mbuzi nikiwa kwenye majukumu yangu mpk wananiulizagaMi mambo nnayopost tsup yote sio sirias ata kidogo
Mama kablessiwa nakwambia 😂😂😂
Sio poa🤔🤔Mno 😂😂😂
Ila nahisi yule mkwe wake ( mume wa mwanae) kabla hajampigia simu mkewe kumueleza aangalie status ya mama yake kwanza aliji dronedrake 🤣🤣🤣🤣
Ni hataree zaidi🤏😎Mama kablessiwa nakwambia 😂😂😂
Mi binti nimesisimka vile!!! Je, wanaume?
Teh teh teh teh teh si na mimi unipe basi nikatolee mapepo. Yaani nahisi kama yanaongea, nataka unipe nikaiombee nipone.Wee mama wa mtu!!
Ile pic ilivyonifikia na umbea wangu nikamsimulia baby wangu, akasema ebu tuone!! 😂😂😂
Nikamkatalia akaforce akachukua simu akaliangalia!! We nikakuta mtu kabadilika akaninyanyua nyaku km kifaranga cha kuku 🤣🤣🤣🤣
Akaenda kunifanya asusa, nikasema kweli bi mkubwa kabarikiwa had baby kadisaaa!!!
Gb wspp inapatikana vipi mkuu!Kupitia mitandao hasa w'app nimeshuhudia watu wengi ninaowashimu tena watu wazima wakituma vitu vya hovyo kabisa ambavyo kwa kuwaangalia huwezi kudhani wamevitunza ktk simu zao.
Mmoja alituma xxxs videos tena kwa kufuatana ya kwanza hadi ya tatu mwengine akaweka ile ya askari wa kipemba akipigwa mti kwenye gari na ni mwanaume mwenye familia na watoto wakubwa,wakati mwengine GB w'app ni nzuri lakini inakupa sononeko unapokuta mtu mnaeheshimiana amekosea kitu.
Link hii hapa ipakueGb wspp inapatikana vipi mkuu!
Upo nyuma sana bro,mwaka wa nne huu nakula maisha GB ni habari ingine.Gb watsupndo nasikia leo kweli mm nimepitwa na wakati
Inahusu nn zaidUpo nyuma sana bro,mwaka wa nne huu nakula maisha GB ni habari ingine.
😂😂😂😂 Weee sio vizuri rika la mama zetu wanatuzaaTeh teh teh teh teh si na mimi unipe basi nikatolee mapepo. Yaani nahisi kama yanaongea, nataka unipe nikaiombee nipone.
Khahh sasa wamekuzaa na umeshawachungulia. Ukaona vizuri ukapeleka kwa mdogo,sema tu hujui kitu. We alikubinua fizikali,lakini akilini alikuwa na huyo maza. Sasa na mimi nipe maza huyo,ananizidi tu kiduchu😂😂😂😂 Weee sio vizuri rika la mama zetu wanatuzaa