Watu wanaoreply comments zangu leo wana shida gani? Hapa uzi unaongelea watoto wewe unakuja na habari za kuoa. Kwa hiyo wewe unaweza kuoa mtoto mwenye miaka mingapi?Nimeshangaa uliposema unapenda watu wenye miaka 0-2, maana yake aliyezidi hapo humpendi.
Umefanya nimecheka mnoo😅😅😅🙌Watu wanaoreply comments zangu leo wana shida gani? Hapa uzi unaongelea watoto wewe unakuja na habari za kuoa. Kwa hiyo wewe unaweza kuoa mtoto mwenye miaka mingapi?
Tamaa kwa mkutadha upi?Acha Tamaa
Wanaume baadhi yenu mpo hivyoMimi napenda sana watoto ila tu nikaa nao wasilie, wasipuu wala kujikojolea. Pamoja na hayo siwezi kukaa na mtoto kwa zaidi ya masaa mawili yaani naona wanageuka Kero. Kama WIFE akitoka kidogo akiniacha nao ndani naweza kuchukua bajaji nikamfuata huko nimpelekee watoto
Kwa kweli Mimi siwezi kuoa mtoto mkuu.Watu wanaoreply comments zangu leo wana shida gani? Hapa uzi unaongelea watoto wewe unakuja na habari za kuoa. Kwa hiyo wewe unaweza kuoa mtoto mwenye miaka mingapi?
Ujinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizoElon musk tajiri namba moja duniani, anasikitika mwanae mmoja amekuwa Shoga.
Yaani hii dunia acha tu.
Unaweza kuwa na pesa ndio. Unazaa watoto unawahangaikia kila kitu, mwisho wa siku wanakuja kuku disappoint vibaya mno.
Hadi unajuta kwa nini ulizaa!
Watu wengine wanachosha jamani😁Umefanya nimecheka mnoo😅😅😅🙌
🥰🥰Napenda watoto na wananipenda pia. Nikikaa na mtoto yoyote huwa lazma anizoee....
Ubaya sipo kanda ya ziwa..Hahaa
Wapo , wanawake wa kanda ya ziwa 🙌😁
Aisee labda awe na shida ila mzima tu, wanazaa mno
Ila mimi ndio naweza kuoa mtotoKwa kweli Mimi siwezi kuoa mtoto mkuu.
Hayo ni mawazo yake yaheshimiweBinti ShesRise_1 umesikia hapa point yake
😂😂 Basi unaroho ngumu sana aisee. Unaoa mtoto bila wasi kabisa?!Ila mimi ndio naweza kuoa mtoto
Kwanini unaita ujinga watu kuzaliana?Ujinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizo
Aisee unaingia JF utulie unazidi kuchanganikiwa 😅😅Watu wengine wanachosha jamani😁
Kwahiyo ukila kinyesi nikuache kwakua unafanya unavyotaka?Kwanini unaita ujinga watu kuzaliana?
Wewe kama hutaki kuzaa acha sio lazima tuwe na mitazamo sawa wote
jifunze kuacha watu wafanye wanavyotaka bila kuwatia ujinga
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua👍
Huu uzi ni kwa ajili ya watu wanaopenda watotoKwahiyo ukila kinyesi nikuache kwakua unafanya unavyotaka?
Ni ipi faida ya mtoto unaemzaa kwenye ulimwengu huu? Acha faida zako za kibinafsi nitajie faida za mtoto unaemzaa
Ndio maana naona Kiranga yupo sawa anavyowabonda
It was a question😂😂 Basi unaroho ngumu sana aisee. Unaoa mtoto bila wasi kabisa?!
Ameshasema akilewa mmuacheHuu uzi ni kwa ajili ya watu wanaopenda watoto
Kuelezea namna wanavyojisikia kuhusu watoto na watu wengi wameshaeleza
Hiyo mijadala mingine unayoleta sina haja nayo saivi mkuu 🤝
Tunahitaji kuzaliana sababu ya survival ya specie yetu, labda useme tupunguze idadi au kuwe na sheria nani anastahili kuzaa ukitimiza vigezo fulaniUjinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizo