Unapenda nini Hapa duniani ?

Unapenda nini Hapa duniani ?

Ndokeji

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
698
Reaction score
477
Mimi napenda 1.kula 2.kulewa kidogo 3. Kuwa na marafiki wabishi. 4.mazoezi 5.mapenzi 6.kulala sana 7.ubishi 8.matani 9.kuvaa vizuri 10. Kuoga kwa siku mara tatu kama dosi .je wewe unapenda nini ?
 
Napenda kuwa na furaha na amani ya akili wakati wowote.
 
Mimi napenda 1.kula 2.kulewa kidogo 3. Kuwa na marafiki wabishi. 4.mazoezi 5.mapenzi 6.kulala sana 7.ubishi 8.matani 9.kuvaa vizuri 10. Kuoga kwa siku mara tatu kama dosi .je wewe unapenda nini ?
Katika ulivyo'ainisha hapo juu....lazima uweke tofauti kati ya ''human needs'' na ''human wants''
1.Kula si kupenda.....ni ''necessity in life''-usipende kula uone unavyo''dhoofu''
2.Pia, level of ''income and life style''-Kuvaa,mazoezi,kulewa,kuogelea kwa watu wengine si vitu vya kupenda...sababu vipo tu amezaliwa amekuta vinamzunguka.....kwahiyo an''adapt/adopt''.
3.Mazingira yana nafasi wakati mwingine katika nini unapenda:mfano unakaa uswazi-vitu kama ubishi ni kitu cha kawaida kabisa.
 
Mi napenda chakura kilchopikwa na mama (means cha kiafrika), pili MPYOLO
 
Mimi napenda 1.kula 2.kulewa kidogo 3. Kuwa na marafiki wabishi. 4.mazoezi 5.mapenzi 6.kulala sana 7.ubishi 8.matani 9.kuvaa vizuri 10. Kuoga kwa siku mara tatu kama dosi .je wewe unapenda nini ?

Sasa wewe si ungesema unapenda vyote maana umeta vyote sasa
 
@ Kwi Kwi
. . . kwasababu tu kula ni necessity haina maana mtu hawezi kufurahia(enjoy)/penda kula. Kuna watu wasioependa kula, kula yao ni ya kulazimishwa/kujilazimisha na kuna watu wanaofurahia kila kijiko cha chakula wanachoweka mdomoni.
. . . Mavazi nayo watu wanapenda na ndio maana kila mtu anavaa mavazi tofauti na watu wengine. Hio ndio sababu ya kuwepo kwa fashion na style za kila aina
. . . Kulewa/kunywa pombe watu wanapenda na ndio maana sio kila mtu ni mnywaji/mlevi. Ingekua watu wanafanya kwasababu tu wamekuta wengi wetu tungekua tunakunywa kwasababu tumekuta wakubwa wetu na wengine wanaotuzunguka wanakunywa.
. . .Mazoezi/kuogelea/kutembea bustanini/ ni vitu ambavyo wapo wanaofanya kwa mazoea, wengine kwa uhitajina wengine kwa kupenda.
 
Katika ulivyo'ainisha hapo juu....lazima uweke tofauti kati ya ''human needs'' na ''human wants''
1.Kula si kupenda.....ni ''necessity in life''-usipende kula uone unavyo''dhoofu''
2.Pia, level of ''income and life style''-Kuvaa,mazoezi,kulewa,kuogelea kwa watu wengine si vitu vya kupenda...sababu vipo tu amezaliwa amekuta vinamzunguka.....kwahiyo an''adapt/adopt''.
3.Mazingira yana nafasi wakati mwingine katika nini unapenda:mfano unakaa uswazi-vitu kama ubishi ni kitu cha kawaida kabisa.

Mkuu umejaribu kumweleza vizuri kazi kwake kuedit thread yake maana anaonekana kaiandaa bila kufikiri kwa kina
 
napenda
1. Kula
2. Kulala
3. Ku****
4. Kutaga
5. Marafiki wanaopenda ligi zisizo na kombe ila wawe na hoja.
6. Musiki
7. Kativi kidogo
8. Anga
9. Miamba
10. Bahari
 
@ Kwi Kwi . . . kwasababu tu kula ni necessity haina maana mtu hawezi kufurahia(enjoy)/penda kula. Kuna watu wasioependa kula, kula yao ni ya kulazimishwa/kujilazimisha na kuna watu wanaofurahia kila kijiko cha chakula wanachoweka mdomoni. . . . Mavazi nayo watu wanapenda na ndio maana kila mtu anavaa mavazi tofauti na watu wengine. Hio ndio sababu ya kuwepo kwa fashion na style za kila aina . . . Kulewa/kunywa pombe watu wanapenda na ndio maana sio kila mtu ni mnywaji/mlevi. Ingekua watu wanafanya kwasababu tu wamekuta wengi wetu tungekua tunakunywa kwasababu tumekuta wakubwa wetu na wengine wanaotuzunguka wanakunywa. . . .Mazoezi/kuogelea/kutembea bustanini/ ni vitu ambavyo wapo wanaofanya kwa mazoea, wengine kwa uhitajina wengine kwa kupenda.
Kwenye RED...Naomba zingatia yafuatayo my dear Lizzy
Kula ya kulazimishwa kweli?-Nenda kawaulize wasomali kule somalia.Inakuwa ya kulazimisha kwa wale wenye uwakika tu wa kesho atakula.

Mavazi nayo watu wanapenda kweli?ndio maana kuna fasion na style kweli?-Nenda kijiji ''interiors'' singida kwa watindiga uwapelekee yebo yebo au Chupi/Boxer eti imeandikwa ''DIOR'',''D&G'' kama ata wanajua fasion nini.

Mazoezi:Nina wadogo zangu wako sweeden......wakija hapa Bongo uwa wanawashangaa vijana wenzao wanawezaje kukaa siku nzima bila hata kupiga ''push ups''-You see where am heading here?

Mabaharia nao kuogelea ni kupenda kweli?Nenda pale DMI Kuna course wanafundishwa kuogelea(i stand to be corrected on this)

U.SA na nchi nyingine nyingi za maghalibi kutembelea bustani ni part and parcel of their daily life-kama au''walk the dog'' basi ''to get some fresh air''

Lizzy upo hapo................
 
Ninapenda Diversity iliyoko katika uumbaji wa Mungu.Wote tungekuwa alike life would've been boring..
 
Kwenye RED...Naomba zingatia yafuatayo my dear Lizzy
Kula ya kulazimishwa kweli?-Nenda kawaulize wasomali kule somalia.Inakuwa ya kulazimisha kwa wale wenye uwakika tu wa kesho atakula.

Mavazi nayo watu wanapenda kweli?ndio maana kuna fasion na style kweli?-Nenda kijiji ''interiors'' singida kwa watindiga uwapelekee yebo yebo au Chupi/Boxer eti imeandikwa ''DIOR'',''D&G'' kama ata wanajua fasion nini.

Mazoezi:Nina wadogo zangu wako sweeden......wakija hapa Bongo uwa wanawashangaa vijana wenzao wanawezaje kukaa siku nzima bila hata kupiga ''push ups''-You see where am heading here?

Mabaharia nao kuogelea ni kupenda kweli?Nenda pale DMI Kuna course wanafundishwa kuogelea(i stand to be corrected on this)

U.SA na nchi nyingine nyingi za maghalibi kutembelea bustani ni part and parcel of their daily life-kama au''walk the dog'' basi ''to get some fresh air''

Lizzy upo hapo................

Hao unaowaongelea hawawakilishi watu wote, ndio maana kuna sehemu nimeandika wengine wanafanya kwa MAZOEA, wengine UHITAJI na wengine KUPENDA.
Kijijini hata kama hawavai disigner stuff haina maana hawachagui, nimeishi kijijini NAJUA. Na kuhusu mazoezi mimi NAPENDA kukimbia, sina ulazima wa kukimbia, sikuzoeshwa na mtu I just enjoy it, hapo hapo wapo wanaolazimika kufanya hivyo ili kupungua/kuimarisha mwili na wengine wamezoea tu.

Ni sawa na kupika tu. . . . kuna watu wanapika kwasababu wanalazimika kufanya hivyo majumbani mwao (hawana ujanja), hata wapishi wa mahotelini wapo wanaopika kwasababu ni kazi na hawaifurahii hata kidogo. Kupika huko huko wapo wanaopenda, mimi nikiwa mmoja wao. Yani hata kama wapo watu wengine wanaweza kupika chakula kizuri tu bado naweza nikaamua kupika mimi kwasababu NAPENDA, na hata baadhi ya wapishi wamejiunga na hiyo fani kutokana na MAPENZI yao juu ya chakula.
 
Ninapenda Diversity iliyoko katika uumbaji wa Mungu.Wote tungekuwa alike life would've been boring..

Lakini mkuu, kusudio la Mungu hapo mwanzo lilikuwa kuwa binadamu wote tuwe sawa ktk angle zote, so unaposema inge-bore, unamaanisha nini?
 
napenda kusali na kufanya yale yanayompendeza Mungu hapa duniani ili kesho niuonje ufalme wa Mbinguni
 
Back
Top Bottom