Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
Wewe ni she or he? Kama she I love you, kama he samahani mkuu
Husika na kichwa cha habari..kama jibu ndiyo..na upo maeneo ya ubungo...jongea eneo la ubungo ingia stand ya Daladala..nyoosha mpaka sehemu wanayopaki Magari ya Gongo la mboto...ukifika hapo Nipm.
Hata usipo nipm utaona kuna njemba imevimba..usiogope nistue tu.