Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,240
- 5,248
Hehehehhe kumekucha 😅😅😅"staki usumbufu"
Hehehehhe kumekucha 😅😅😅"staki usumbufu"
Raha tena sio kidogoNikiwa mbele za watu, wife akihitaji huniambia VERO AMESEMA UENDE.
Najua mama anataka posho yake.
Nikitaka mimi namwambia wife, amesema anamsuiri mwenzake. Hapo wife anajua tu anahitajika.
Tukiwa chumbani, sisemi lolote ni kuvua tu kufuli na anajua hapa kuna kazi.
Akisema tu masika, najua mambo yake hovyo.
Ndoa wawili mkielewana raha!
Hahahaha!Mke wangu huniambia "ndiyo nalala hivyo. nikilala sitaki usumbufu" najua hapa anataka KAZI
Aseee sawa baba VeroNikiwa mbele za watu, wife akihitaji huniambia VERO AMESEMA UENDE.
Najua mama anataka posho yake.
Nikitaka mimi namwambia wife, amesema anamsuiri mwenzake. Hapo wife anajua tu anahitajika.
Tukiwa chumbani, sisemi lolote ni kuvua tu kufuli na anajua hapa kuna kazi.
Akisema tu masika, najua mambo yake hovyo.
Ndoa wawili mkielewana raha!
Duu siwezi dumu na deku wa dizaini hii ata kwa sekunde
Duh!mpaka muanze kuchati kwanzaEmoji ya hivi moja tu mzeeiya anaelewa.
Ye anaulizaga kama nimemiss strawberry lips 'Tequila cream liqueur
Sasa hii imoji unamtumia mkiwa wote mpo kitandani au? Maana nilivyomuelewa mtoa mada, ni kwamba ushafika kitandania na sasa unataka KUDEMKA, unalianzishaje?Emoji ya hivi 💦 moja tu mzeeiya anaelewa.
Ye anaulizaga kama nimemiss strawberry lips 'Tequila cream liqueur 😋