Unaombaje penzi kwa Mke/Mwenza wako

Nikiwa mbele za watu, wife akihitaji huniambia VERO AMESEMA UENDE.
Najua mama anataka posho yake.

Nikitaka mimi namwambia wife, amesema anamsuiri mwenzake. Hapo wife anajua tu anahitajika.

Tukiwa chumbani, sisemi lolote ni kuvua tu kufuli na anajua hapa kuna kazi.
Akisema tu masika, najua mambo yake hovyo.
Ndoa wawili mkielewana raha!
 
Nikiwa mbele za watu, wife akihitaji huniambia VERO AMESEMA UENDE.
Najua mama anataka posho yake.

Nikitaka mimi namwambia wife, amesema anamsuiri mwenzake. Hapo wife anajua tu anahitajika.

Tukiwa chumbani, sisemi lolote ni kuvua tu kufuli na anajua hapa kuna kazi.
Akisema tu masika, najua mambo yake hovyo.
Ndoa wawili mkielewana raha!
Raha tena sio kidogo
 
Nikiwa mbele za watu, wife akihitaji huniambia VERO AMESEMA UENDE.
Najua mama anataka posho yake.

Nikitaka mimi namwambia wife, amesema anamsuiri mwenzake. Hapo wife anajua tu anahitajika.

Tukiwa chumbani, sisemi lolote ni kuvua tu kufuli na anajua hapa kuna kazi.
Akisema tu masika, najua mambo yake hovyo.
Ndoa wawili mkielewana raha!
Aseee sawa baba Vero
 
Back
Top Bottom