Nakukunda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 877
- 1,635
Habari,
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi mbalimbali hapa, nilichojifunza mapenzi ni dynamic, not all size fit for all. Sio kila ushauri unaweza kuwork kwenye mahusiano yako sababu tunadeal na wenza wenye haiba mbalimbali, utashi, tabia, uwezo na personality nk.
Muhimu kwa kaka na wadogo zangu wa kiume pamoja na vigezo vyako vingi unavyoweza kuwa navyo kama uzuri, tabia, sura , mbususu tamu nk, ukitaka kuchagua mke/mwanamke tafuta unayemmudu na weka hiki kama moja ya kigezo kikubwa.
Nikisema kummudu simaanishi kifedha tu, namaanisha all aspects sababu kwa mujibu wa maandiko ya dini yangu, mume ni kichwa hii 50/50 ndiyo imeanza kuleta shida kwenye maisha.
Mke anapaswa kuwa mshauri mkuu na msaidizi kwa mujibu wa maandiko, ila pale ambapo mwanaume hasimamii vizuri nafasi yake kama kichwa, hapo ndipo matatizo huwa yanaanza.
Hizi story za kanipiga kizinga huwezi kuzikuta kwa mwanaume aliyemchagua mwenza anayemmudu. Ukiona uwezo wako ni wakina Mwajuma kandambili basi chagua huko, ukiona uwezo wako ni wakina Wema Sepetu basi chagua hao, ukiona uwezo wako ni kina Jackline Mengi basi chagua type hizo.
Mmudu kifedha simaanishi kuwa tajiri hapa namaanisha yule unayeweza kuafford kwa uwezo wako. Sisi wanawake bana ni receiver by nature, hata kama ukiwa billionea trust me hela ya mume/mwanaume ni tamu jamani kama kuna anayebisha anyooshe mkono.
Men are provider by nature and women are receiver by nature. Hata nature ya maumbile yanaonesha hilo kwa maana ya maumbile ya kiume yamechomoza mbele na kike ni kitundu kwa ajili ya kupokea maumbile ya kiume.
Ili usipigwe vizinga vya million 3 kama kaka yangu mmoja hapa basi chagua unayemmudu, na hapa si kwa mke tu hata wale mnaosakata Mbususu.
Mmudu kitabia, hapa simaanishi aliyekamilika ila ambaye unaweza kuvumilia mapungufu yake na unajua strength zake.
Yule ambae akikasirika basi unaweza kumudu reaction zake, wapo wanawake wakichukia wanarusha rusha vitu ovyo kama kupasua TV, wengine wakikasirika huwa wanalia ukimhug na kumbembeleza imeisha, wapo wanaobinua mdomo kama Asha Ngedere, wapo wanaonuna; tafuta yule ambaye unaweza kummudu kwa situation zote.
Mmudu kitandani, sitapaelezea maana JF member almost wengi sana wako vizuri kitandani, wana nguvu za kiume na wana PhD ya mapenzi according to nyuzi zao nyingi. Wachache tu ndo tunauwezo wa kawaida.
Naomba kuwasilisha.
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi mbalimbali hapa, nilichojifunza mapenzi ni dynamic, not all size fit for all. Sio kila ushauri unaweza kuwork kwenye mahusiano yako sababu tunadeal na wenza wenye haiba mbalimbali, utashi, tabia, uwezo na personality nk.
Muhimu kwa kaka na wadogo zangu wa kiume pamoja na vigezo vyako vingi unavyoweza kuwa navyo kama uzuri, tabia, sura , mbususu tamu nk, ukitaka kuchagua mke/mwanamke tafuta unayemmudu na weka hiki kama moja ya kigezo kikubwa.
Nikisema kummudu simaanishi kifedha tu, namaanisha all aspects sababu kwa mujibu wa maandiko ya dini yangu, mume ni kichwa hii 50/50 ndiyo imeanza kuleta shida kwenye maisha.
Mke anapaswa kuwa mshauri mkuu na msaidizi kwa mujibu wa maandiko, ila pale ambapo mwanaume hasimamii vizuri nafasi yake kama kichwa, hapo ndipo matatizo huwa yanaanza.
Hizi story za kanipiga kizinga huwezi kuzikuta kwa mwanaume aliyemchagua mwenza anayemmudu. Ukiona uwezo wako ni wakina Mwajuma kandambili basi chagua huko, ukiona uwezo wako ni wakina Wema Sepetu basi chagua hao, ukiona uwezo wako ni kina Jackline Mengi basi chagua type hizo.
Mmudu kifedha simaanishi kuwa tajiri hapa namaanisha yule unayeweza kuafford kwa uwezo wako. Sisi wanawake bana ni receiver by nature, hata kama ukiwa billionea trust me hela ya mume/mwanaume ni tamu jamani kama kuna anayebisha anyooshe mkono.
Men are provider by nature and women are receiver by nature. Hata nature ya maumbile yanaonesha hilo kwa maana ya maumbile ya kiume yamechomoza mbele na kike ni kitundu kwa ajili ya kupokea maumbile ya kiume.
Ili usipigwe vizinga vya million 3 kama kaka yangu mmoja hapa basi chagua unayemmudu, na hapa si kwa mke tu hata wale mnaosakata Mbususu.
Mmudu kitabia, hapa simaanishi aliyekamilika ila ambaye unaweza kuvumilia mapungufu yake na unajua strength zake.
Yule ambae akikasirika basi unaweza kumudu reaction zake, wapo wanawake wakichukia wanarusha rusha vitu ovyo kama kupasua TV, wengine wakikasirika huwa wanalia ukimhug na kumbembeleza imeisha, wapo wanaobinua mdomo kama Asha Ngedere, wapo wanaonuna; tafuta yule ambaye unaweza kummudu kwa situation zote.
Mmudu kitandani, sitapaelezea maana JF member almost wengi sana wako vizuri kitandani, wana nguvu za kiume na wana PhD ya mapenzi according to nyuzi zao nyingi. Wachache tu ndo tunauwezo wa kawaida.
Naomba kuwasilisha.