Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
- Thread starter
- #121
Sa si bora wewe wamekujibu k me mtu kaniandikia c.u eti ndo see you niliangaika cku nzima
Hahahahahahah aisee!
Sa si bora wewe wamekujibu k me mtu kaniandikia c.u eti ndo see you niliangaika cku nzima
Nimeshajirekebisha
Kweli mkuu, ni kama kadharau flani hivi...
Hahaa umeanza!
Aise kuna watu wa ajabu sana hii karne ya 21!
Lets say ulikua bafuni unaoga, ulivyotoka ukakuta missed call kama 4 hivi kutoka kwa mshkaji wako, ulipotaka kumpigia ukakuta huna salio ikabidi umtext.
"Oya kaka pole nilikua washroom nimekuta missed call zako vp kwema?" kama una airtime pls call me again", sasa maneno yote haya ni KB (Kilobytes) nyingi tu!
Jitu linakujibu "K", sasa maana ya "K" ni kenge, kongosho, kunguru, kinyeba au? acheni ukisasa wa ajabu bwana! hata kama "K" ni kifupi cha "ok", yet, uandishi wa namna hii haufai ukizingatia kwamba msg niliyokutumia inahitaji maelezo ya ziada!
Looh! Mi wakwangu viburi ukimtukana leo kesho ana kuam?bia " xor beb kwa msg ya jana, upo k? " yan nataman kupasuka
Ni kama nisivyopenda maneno 'lol' mara limao sjui 'lmao' kuonesha kwamba mtu kafurahia au msg imemchekesha!
Looh! Mi wakwangu viburi ukimtukana leo kesho ana kuambia " xor beb kwa msg ya jana, upo k? " yan nataman kupasuka
kuna kasichana ka chuo fulan nilikatema sababu ya ujinga huu
mikazó;8708028 said:Eti mwingne anakuandikia P ,badala ya poa,.nikajiulza hyo p ni popo,punga au pumbu?
Aisee nilifikiri peke yangu ndo sipendi mtu aniandikie message kwa vifupisho vya ajabu ni sawa sawa na wanaoweka 'x' badala 's' wananichefua