Unamtext mtu message ndefu yeye anakujibu "K"

Unamtext mtu message ndefu yeye anakujibu "K"

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,668
Aise kuna watu wa ajabu sana hii karne ya 21!


Lets say ulikua bafuni unaoga, ulivyotoka ukakuta missed call kama 4 hivi kutoka kwa mshkaji wako, ulipotaka kumpigia ukakuta huna salio ikabidi umtext.


"Oya kaka pole nilikua washroom nimekuta missed call zako vp kwema?" kama una airtime pls call me again", sasa maneno yote haya ni KB (Kilobytes) nyingi tu!


Jitu linakujibu "K", sasa maana ya "K" ni kenge, kongosho, kunguru, kinyeba au? acheni ukisasa wa ajabu bwana! hata kama "K" ni kifupi cha "ok", yet, uandishi wa namna hii haufai ukizingatia kwamba msg niliyokutumia inahitaji maelezo ya ziada!
 
ina dhima gani ndani yake?

Haiwezekani mtu unamtumia sms kuhusu kitu intense kama msiba wa mtu wake wa karibu, halafu akujibu 'K"! Haiwezekani!

Actually, sipendi kutext vitu vyenye dhima nzito sana! Ni bora nigharamike kupiga simu ili ujumbe ufike haraka!
 
ina dhima gani ndani yake?

Haiwezekani mtu unamtumia sms kuhusu kitu intense kama msiba wa mtu wake wa karibu, halafu akujibu 'K"! Haiwezekani!

Actually, sipendi kutext vitu vyenye dhima nzito sana! Ni bora nigharamike kupiga simu ili ujumbe ufike haraka!

Well said mkuu! ifike mahali tubadilike sasa.
 
Aise kuna watu wa ajabu sana hii karne ya 21!


Lets say ulikua bafuni unaoga, ulivyotoka ukakuta missed call kama 4 hivi kutoka kwa mshkaji wako, ulipotaka kumpigia ukakuta huna salio ikabidi umtext.


"Oya kaka pole nilikua washroom nimekuta missed call zako vp kwema?" kama una airtime pls call me again", sasa maneno yote haya ni KB (Kilobytes) nyingi tu!


Jitu linakujibu "K", sasa maana ya "K" ni kenge, kongosho, kunguru, kinyeba au? acheni ukisasa wa ajabu bwana! hata kama "K" ni kifupi cha "ok", yet, uandishi wa namna hii haufai ukizingatia kwamba msg niliyokutumia inahitaji maelezo ya ziada!



Afadhali amaanishe k kwa maana hizo, mwingine anaweza maanisha k kwa maana ambayo ukiijua unaweza ukaenda kufyeka ukoo wake wote kwa hasira!
 
Back
Top Bottom