Nikijaribu kuwasoma huwa nahisi hivi kama nimejibiwa hivyo
K - Not interested
OK - Slightly interested
Okay - Interested
jamani nachukia vifupi vya letter moja,...dah...ila hii thread imenichekesha sanaaaa
niliwah mkataza bibie mmoja hivi kutumia ufupisho,,tulikua tukikwaruzana tu, anakuja na kifupisho.. 'mpz',,
nikaja gundua ananiita mpuuzi na sio mpenzi.
imewFanya watu wafunguke balaa na nimejifunza vishort cut vya letters za ajabu ambazo zingenisumbua sana akili baadaeNini kimekuchekesha mkuu?
mtu anaejibu hivyo inawezekana akawa amekasirika kutokana na wewe kushindwa kupokea calls zake...
K...
fyn....
&...
hll...
t....
tym....
Hiki ni nini mkuu?!
K maana yake ni ile njia kuu ya kuleta watu uimwenguni
Mi naona hayo maneno yamekaa kishoga
hivi mtu tena rijali na akili timamu anasemaje xaxa,xana
Xo dis is not 4 rijariz aaah!
Xo dis is not 4 rijariz aaah!
Xo dis is not 4 rijariz aaah!