Unamshangaa "Mlevi" Kuingia Bungeni akiwa Amelewa

Unamshangaa "Mlevi" Kuingia Bungeni akiwa Amelewa

...kwa nini msishangae mtu aliyepaswa kuuawa na akina lema wa chadema kwa wizi anapewa nafasi ya kuwa rais wa JMT?
 
Mpaka na Kirobi cha Kitwanga

Hahahahaaaaaa. Nimezipenda hizi sample za Kitwanga ndio maana imebidi niweke kwenye profile.
Hiki kiroba na Bia kitapata wateja wengi hii brand inahistoria ya pekee haijawahi tokea tangu kuanzishwa kwa bunge nchi hii.
 
...kwa nini msishangae mtu aliyepaswa kuuawa na akina lema wa chadema kwa wizi anapewa nafasi ya kuwa rais wa JMT?
Mungu ametuepusha na janga la hatari sana. Yule yule waliyemkejeli majukwaani, wakatumia njia ile ile kwa ajili ya kusema sio mchafu!. Halafu wakaunda umoja usiokuwa na upendo ndani yake eti waweze kuiongoza nchi hii.
 
Acha unazi wa Siasa zenu za maji Taka hizo, kosa la Mh Rais Liko wapi? Kwani wote aliowateua ni wasafi sana ? Ndo maana nikaanza na acha siasa zako za maji taka.
Rais kuteua mtu kama Kitwanga si dhambi, ila yule aliyeteuliwa asipojitambua na kutambua wajibu wake hapo ndo shida ilipo.
Watanzania lazima tubadili tabia zetu za kuchukulia jambo kimazoea na nini wajibu na Uwajibikaji.

Kazi kwanza Starehe baada ya kazi
 
Wewe utakuwa kwenda wa Z.why vetting?
Kuteua Mlevi si kosa. Kosa ni kuwa Mlevi kazini. Ni sawa na wewe kuingia kazini Mapumbu nje na kulaumu aliekuteua kwa kuteua mtu anaeingia ofisin uchi kumbe anajua kuwa una uchi ila hakutegemea kama ungeingia uchi ofisin.


Kitwanga hakufukuzwa kwa
kuwa Mlevi bali kwa kuwa Mlevi bungeni angekutwa kalewa jioni baa isingekuwa kosa
 
Mkuu wewe ni wale wale tu masikini wa akili.ila kwenye akili zao kunakosa lilifanyika kwenye uteuzi wa kitwanga.MTU mwenye cheo cha waziri ashindwe kujitambua kiasi cha kuingia kazini akiwa amelewa then wewe unaona ni kawaida tu.
Uzi wa kipuuzi kwelikweli, hujawahi kuona mchungaji anafumaniwa gesti?, ina maana yote anayoyafundisha akiwa madhabahuni hayana mantiki kwa wale wanaomsikiliza?.
Rais anateua malaika wamsaidie kazi au binadamu wenye mema na mabaya?.
Kama huna la kuandika kaa pembeni ya runinga uangalie vipindi vingi tu.
Yapo mambo ya kumsaidia mtanzania kupitia jamii forum, lakini hayafanani na huu utumbo wa thread hii.
 
Mkuu wewe ni wale wale tu masikini wa akili.ika kwenye akili zao kunakosa lilifanyika kwenye uteuzi wa kitwanga.MTU mwenye cheo cha waziri ashindwe kujitambua kiasi cha kuingia kazini akiwa amelewa then wewe unaona ni kawaida tu.
Aliyekwambia mimi naona ulevi wakati wa kazi ni kawaida ni nani?. Soma jinsi ambavyo huyo bwana mdogo alivyoiandika hii thread ndio utaelewa ni kwanini nimeandika hivyo nilivyoandika. Elewa jambo kwa undani kabla hujaanza kujifanya mjuaji anayeweza kutukana kila mtu.
 
Vetting,vetting,vetting
Acha unazi wa Siasa zenu za maji Taka hizo, kosa la Mh Rais Liko wapi? Kwani wote aliowateua ni wasafi sana ? Ndo maana nikaanza na acha siasa zako za maji taka.
Rais kuteua mtu kama Kitwanga si dhambi, ila yule aliyeteuliwa asipojitambua na kutambua wajibu wake hapo ndo shida ilipo.
Watanzania lazima tubadili tabia zetu za kuchukulia jambo kimazoea na nini wajibu na Uwajibikaji.

Kazi kwanza Starehe baada ya kazi
 
Mkuu matumaini ya watu wenye akili na professionals ni kuwa MTU anayeteuliwa kuwa waziri ni mtu ambaye has very high level of professionalism.Na huo ndo msingi wa kufanya vetting.sasa kwa kuwa Kitwanga ni rafiki wa mheshimiwa ukiplus na vetting results naamini he was found unprofessional kwa tabia hii ya ulevi wa kutokujitambua na hakupaswa kuteuliwa.ukweli huu ndio ulionifanya niconclude kuwa wewe nawe ni masikini wa akili baada ya kuna utetezi wako
Aliyekwambia mimi naona ulevi wakati wa kazi ni kawaida ni nani?. Soma jinsi ambavyo huyo bwana mdogo alivyoiandika hii thread ndio utaelewa ni kwanini nimeandika hivyo nilivyoandika. Elewa jambo kwa undani kabla hujaanza kujifanya mjuaji anayeweza kutukana kila mtu.
 
Anaandika Fundi Mkuu,

Unamshangaa "mlevi" kuingia Bungeni akiwa amelewa, badala ya kushangaa tabia ya kuteua walevi kushika madaraka? Kwanini tusimlaumu aliyeteua mlevi badala ya kumlaumu mlevi mwenyewe? Unawezaje kumlaumu dobi kwa kushindwa kutakatisha kaniki wakati tunajua ndio rangi yake? Unawezaje kuilaumu bunduki iliyomuua Mwangosi badala ya kumlaumu Askari aliyehusika? Kumbuka bunduki haiui watu, ila watu ndio wanaua watu. ‪#‎Tafakari‬.!
Mbona hueleweki,
Nitakuelewa vzr kama utaleta ushahidi kuonyesha rekodi yake ya kulewa kazini/
Vingine ukiwa mnywaji huna nafasi serikalini.
 
Back
Top Bottom