Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,321
- 152,121
Akiingoe na gazeti la Nipashe,Naibu Katibu wa Bunge,John Joel amesema hakuna kifungu chochote cha kanuni za Bunge zinazomzuia mtu kuingia Bungeni akiwa amelewa.
"Kanuni zinahusiana na uendesha wa shughuli za Bunge,hizi za Maadili ni kanuni za Maadili ambazo zinatakiwa kutungwa ili kudhibiti hali hiyo ",alisema Joel.
Chanzo:Nipashe online
Kwa mujibu wa habari hii,mbunge wa Sumve, Richard Ndasa alimsihi mara tatu Kitwanga asiingie Bungeni kwasababu alikuwa na kila dalidali za kulewa lakini Kitwanga alikataa na hata baada ya kikao cha Bunge kwisha, Ndasa alijaribu kumshika mkono Kitwanga ili amuondoe katika viwanja ya Bunge lakini Kitwanga alimkimbia.
Kwa mijibu wa maelezo ya Ndassa katika habari hii,baada ya Kitwanga kumkimbia,Ndasa alimfuata dereva wa Kitwanga na kumwambia amuondoe Kitwanga katika viwanja vya Bunge ila Kitwanga alikataa kuingia ndani ya gari.Ndasa ni mwenyekiti wa wabunge wa mkoa wa Mwanza.
Baada ya kusoma haya maelezo ya Ndasa naanza kujiuliza hivi Kitwanga ni nini kilimsibu mpaka kufanya haya yote au alifanya tu makusudi ili haya yatokee?Mbona hii kitu haingii akilini?
"Kanuni zinahusiana na uendesha wa shughuli za Bunge,hizi za Maadili ni kanuni za Maadili ambazo zinatakiwa kutungwa ili kudhibiti hali hiyo ",alisema Joel.
Chanzo:Nipashe online
Kwa mujibu wa habari hii,mbunge wa Sumve, Richard Ndasa alimsihi mara tatu Kitwanga asiingie Bungeni kwasababu alikuwa na kila dalidali za kulewa lakini Kitwanga alikataa na hata baada ya kikao cha Bunge kwisha, Ndasa alijaribu kumshika mkono Kitwanga ili amuondoe katika viwanja ya Bunge lakini Kitwanga alimkimbia.
Kwa mijibu wa maelezo ya Ndassa katika habari hii,baada ya Kitwanga kumkimbia,Ndasa alimfuata dereva wa Kitwanga na kumwambia amuondoe Kitwanga katika viwanja vya Bunge ila Kitwanga alikataa kuingia ndani ya gari.Ndasa ni mwenyekiti wa wabunge wa mkoa wa Mwanza.
Baada ya kusoma haya maelezo ya Ndasa naanza kujiuliza hivi Kitwanga ni nini kilimsibu mpaka kufanya haya yote au alifanya tu makusudi ili haya yatokee?Mbona hii kitu haingii akilini?