Shilingi mbovu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 542
- 201
Ahsante mkuuHapana, kwanza mtangulize Mungu kisha jaribu kujiondoa taratibu,mtu anayecheza na hisia zako mazee daaah acha tu,najua ndo maana nakupa huu ushaur tena kiroho safi
Ahsante mkuuHapana, kwanza mtangulize Mungu kisha jaribu kujiondoa taratibu,mtu anayecheza na hisia zako mazee daaah acha tu,najua ndo maana nakupa huu ushaur tena kiroho safi
Face the reality mkuuYaani mkuu hicho ndio kinachoendelea kwangu na binti flani hivi ????? Huwezi amini nikimwambia i miss u? au a love u? atakaa aidha nusu saa ndio anijibu au hata asiwasiliane na mm kwa mda . sometimes yupo online either fb au whatsapp na asini cheki? Inaniuma ila na jipya moyo mybe someday to come i might let her go.... Najipaga moyo tu
Meaning what mkuu??Wanaokutana na vinuka mkojo vya college haya ya kufikia tu taka usitake.
HahahaHahahh poleni
Where do i begining ndugu
Face the reality mkuu
Aki kaa kimya na wewe kaa kimya
Sometimes unamwambia mtu I MIC U ANAKUJIBU NIPOOO TU AU UMWAMBIA I LOVE U ANAKUJIBU MICHAKATO INASEMAJE
Hahaha
Nakumbukaga nyimbo mbili
Nalivua pendo wa mwasiti
Utanikumbuka wa vumilia
These songs, ni nzuri saana ukipata madhila kama haya
Mkuu siyo hatua ndogo kufanya hivo ila jua nilifanikiwa japo kwa maumivu makali, kama kujivua gamba hiviDELETE AND LET GO...LET GO usimuwaze wala usimuwazie mabaya..JUST LET GO, FOR YOUR OWN GOOD...DO IT FOR YOU ONLY!

Mkuu siyo hatua ndogo kufanya hivo ila jua nilifanikiwa japo kwa maumivu makali, kama kujivua gamba hivi
Yaan namuelewa jamaa anavo sema ni ngumu
Ahahahahah!! Hapendagi ujinga kabisa huyoSometimes unamwambia mtu I MIC U ANAKUJIBU NIPOOO TU AU UMWAMBIA I LOVE U ANAKUJIBU MICHAKATO INASEMAJE
Sawa mkuu nimekupataMimi pia naongea from experience. Na ni ngumu kama utasema humtafuti ilhali namba yake bado iko kwenye simu yako...kiubinadamu hiyo ni ngumu mno!!!
FUTA DELETE KABISA..ni proven method of forgetting someone in the shortest time possible!!!
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani wewe ni kama mimi ila kwenye mwili mwingine
Au wewe ndo mimi!!!?
Yaaan exactly
Unamwambia mtu "i love you" utakuta "gud nyt nasinzia now"
Au "i miss u" msg haijibiwi hadi kesho utakuta msg ya ghafla tu, "hivi ushaenda job eee!?"
Apo cha kufanya sepa maana ndo anacho subiri ufanye
poleeeYaani mkuu na wewe ndo unakuwa unajiuliza kwa nini iwe hivo!!?Kwann ujisumbue wakati Dunia nzima Ina wanawake zaidi ya billion 4. Achana nae and go for the other one