Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Hahhaha ebu fanya hivyo basi
..... Kama ni special request sawa
Jr![]()
..... Kama ni special request sawa
Jr![]()
Usimzoee utajuta ukuje kutoa uzi humu. wa kike yuko hivo, je wa kiume ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaambiwa na Mshana jr. hapa nilipo nimeshamaliza za kutosha . namsubiria atakae jipendekeza. Kuna mmoja hapa kushoto kwangu naona ananipiga jicho kinoma nitawapa mrejesho nahisi ndio hao haoHahhaha ebu fanya hivyo basi
Sukubasi wa kike huyo upo karibu naeNimeshaambiwa na Mshana jr. hapa nilipo nimeshamaliza za kutosha . namsubiria atakae jipendekeza. Kuna mmoja hapa kushoto kwangu naona ananipiga jicho kinoma nitawapa mrejesho nahisi ndio hao hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hajajazia kama reference za Mshana jr, sio lapa la buguruni kweli ?Sukubasi wa kike huyo upo karibu nae
Mbona hajajazia kama reference za Mshana jr, sio lapa la buguruni kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo nilale nae mbele ? Nikidhurika ni dhambi zako ujue ...Sio sukubasi huyo
Nimeshaambiwa na Mshana jr. hapa nilipo nimeshamaliza za kutosha . namsubiria atakae jipendekeza. Kuna mmoja hapa kushoto kwangu naona ananipiga jicho kinoma nitawapa mrejesho nahisi ndio hao hao
Sent using Jamii Forums mobile app













Wewe nini wewe siitaji kuzoea mtu kureply unaweza ni block kama vpUkiona watu wanataniana kwenye thread usiamini wameanzia hapo!!
Ustaarabu wa kureply comment ya mdau usiye na mazoea nae ni neutral reply.
Otherwise ni tusi!