Unamfahamu Sukubasi (Succubus/Succubi)?

Unamfahamu Sukubasi (Succubus/Succubi)?

Huyo suku ndio anaeleta confusion kwenye jamii kama mambo haya:-
- Haki za wanawake
-Haki za LGQBT
-Pornographs
-Uzazi wa mpango

Malengo yake amuangushe mwana wa Adam.

Who runs the world-Beyonce (dedication)
 
Mada za kujazana Ujinga hiziii..

Hizii story zakufikirika mtu anawaset wazembewazembe na wao wamejaa kichwakichwa..
 
Lilith yupo na tunaishi naye ndio maana hawapendi mpenzi jini atajwetajwe... Hivi unadhani wale wanaume wanaooa majini wanaoa nani? Si Sukubasi hao?!
Lilith ana majina 17 lakini majina yanayozua mjadala ni mawili
1. Odam! Wachambuzi wanasema aliitwa hivyo kwasababu mumewe alikuwa Adam
2. The remaining (aliyebakishwa!) Mmh...! Kwanini abakishwe... Opoeni tu warembo vigoli wakali, wapendeni sana ila kuna siri kubwa nyuma yake...
Tunaposema wanawake warembo hawaolewi na wengi huwa Malaya pengine tafsiri yake ni hii hapa... Ni Sukubasi hawa...! [emoji87][emoji87][emoji85][emoji23][emoji124]

Jr[emoji769]
mkuu uyo sukubasi na yye anapenda hela?!
 
There is scientific evidence that second sight exists, Esccubae can easily being seen through this mode of vision. normally in the form of domesticated animals.
 
There is scientific evidence that second sight exists, Esccubae can easily being seen through this mode of vision. normally in the form of domesticated animals.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Huyo dem nimemla sana kwenye ndoto ila skumbuki kama nimewahi kuzama chumvn
 
Back
Top Bottom