Lilith yupo na tunaishi naye ndio maana hawapendi mpenzi jini atajwetajwe... Hivi unadhani wale wanaume wanaooa majini wanaoa nani? Si Sukubasi hao?!
Lilith ana majina 17 lakini majina yanayozua mjadala ni mawili
1. Odam! Wachambuzi wanasema aliitwa hivyo kwasababu mumewe alikuwa Adam
2. The remaining (aliyebakishwa!) Mmh...! Kwanini abakishwe... Opoeni tu warembo vigoli wakali, wapendeni sana ila kuna siri kubwa nyuma yake...
Tunaposema wanawake warembo hawaolewi na wengi huwa Malaya pengine tafsiri yake ni hii hapa... Ni Sukubasi hawa...! [emoji87][emoji87][emoji85][emoji23][emoji124]
Jr[emoji769]